mhalisi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 1,181
- 320
Wadau je mawaziri wa serikali ya mapinduzi Zanzibar wanalipwa masilahi kama wanayolipwa mawaziri wa Tanzania bara, na je mawaziri wa Zanzibar nao wanatembelea kwenye magari aina ya Toyota Landcruser VX V8 kama wanayotembelea wenzao wa bara? na vipi kuhusu masilahi ya makatibu wakuu wa wizara na wakuu wa mikoa wa Zanzibar?