Kasheshe JF-Expert Member Jun 29, 2007 4,694 787 Dec 16, 2013 #1 Nafurahishwa na utulivu wa mawaziri wa Ulinzi + Mambo ya Ndani. Nahodha + Nchimbi: Hawana jaziba wanajibu kwa heshima.
Nafurahishwa na utulivu wa mawaziri wa Ulinzi + Mambo ya Ndani. Nahodha + Nchimbi: Hawana jaziba wanajibu kwa heshima.
Nicholas JF-Expert Member Mar 7, 2006 25,260 7,195 Dec 16, 2013 #2 lugha yake ya kuchanganya L na R ni tatizo sana kwa nchimbi.Na majibu yao ni ya kihuni km wahuni wengine tuu.hakuna kipya.
lugha yake ya kuchanganya L na R ni tatizo sana kwa nchimbi.Na majibu yao ni ya kihuni km wahuni wengine tuu.hakuna kipya.