Sajenti
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 3,651
- 412
Baadhi ya mawaziri wa kiume katika serikali ya Raisi Robert Mugabe wa Zimbabwe wanatarajiwa kutahiriwa hivi karibuni. Huo ni mkakati waserikali ya Raisi Mugabe kwa kushirikiana na taasisi moja iliyo kwenye mapambano dhidi ya ukimwi. Kwa kuanza kampeni hiyo itaanzia kwa mawaziri hao ili kuhamasisha wazimbabwe wengine kuitikio wito wa kutahiriwa kwa hiari. Source: Mtanzania news paper.