mtotowamjini
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 4,526
- 1,169
jamani kununua au kujenga nyumba sio lazima iendane na mshahara wako na sio lazima mtu atoe cash, si kuna mikopo inatolewa na bank? hamjui hawa watu kabla ya kua mawaziri walikua wanafanya biashara gani sio kila waziri alikua maskini kabla hajapewa huo uwaziri...