HansMaja
Senior Member
- Nov 9, 2010
- 102
- 114
Naibu waziri "amepewa sumu"!!Sitta anatuambia Mwakyembe amelishwa sumu, Nahodha anasema Sitta alete ushahidi, Mwakyembe anasema Nohodha na Jeshi lote la polisi wanawatumikia mafisadi na hahitajiki kupeleka ushahidi poilisi bali polisi wanatkiwa kuutafuta. Nini cha kufanya muheshimiwa Rais wakati baraza la maziri wanashutumiana kwenye vyombo vya habari?