mzenjiboy JF-Expert Member Aug 28, 2010 907 382 May 26, 2021 #1 Hivi kwa nini mawaziri wote wa Bara huitwa “Waziri wa Jamhuri ya Muungano” ijapokuwa wizara ya waziri husika huwa si ya muungano ?
Hivi kwa nini mawaziri wote wa Bara huitwa “Waziri wa Jamhuri ya Muungano” ijapokuwa wizara ya waziri husika huwa si ya muungano ?
Kiranga Platinum Member Jan 29, 2009 71,257 105,374 May 26, 2021 #2 mzenjiboy said: Hivi kwa nini mawaziri wote wa Bara huitwa “Waziri wa Jamhuri ya Muungano” ijapokuwa wizara ya waziri husika huwa si ya muungano ? Click to expand... Kwa sababu ni mawaziri wa serikali ya Jamhri ya Muungano. Wewe ukiwa ni mtoto wa kiume wa Mama yako, bado ni mtoto wa mama yako hata kama si mtoto wa kike wa mama yako. Hao ni Waziri wa serikali ya jamhuri ya muungano ambao wanaongoza wizara zisizoshughulikia mambo ya muungano. Hawawezi kuwa mawaziri wa serikali ya mapinduzi ya Zanzibar, na Tanzania hakuna serikali nyingine.
mzenjiboy said: Hivi kwa nini mawaziri wote wa Bara huitwa “Waziri wa Jamhuri ya Muungano” ijapokuwa wizara ya waziri husika huwa si ya muungano ? Click to expand... Kwa sababu ni mawaziri wa serikali ya Jamhri ya Muungano. Wewe ukiwa ni mtoto wa kiume wa Mama yako, bado ni mtoto wa mama yako hata kama si mtoto wa kike wa mama yako. Hao ni Waziri wa serikali ya jamhuri ya muungano ambao wanaongoza wizara zisizoshughulikia mambo ya muungano. Hawawezi kuwa mawaziri wa serikali ya mapinduzi ya Zanzibar, na Tanzania hakuna serikali nyingine.