Rais Samia amesema kwa muda wa miezi sita amekuwa akiwasooma mawaziri na wateuke wake wote na wao pia wakimsoma.
Hii maana yake nini.
Maana yake ukiwa kaxini usihangaike kusoma sheria za kazi na za nchi zinasemaje hangaika kujua bosi wako anatakaje.
Ukiteuliwa na yeyote hangaika kujua anatakaje usihangaike kujua professìon yako au sheria inasemaje au katiba ya nchi inasemaje.
Ukiwa chini ya Magufuli hangaika kushangili kujifukiza na nyungu lakini Magufuli akifariki hangaika kuhimiza chanjo ya corona.
Hii maana yake nini.
Maana yake ukiwa kaxini usihangaike kusoma sheria za kazi na za nchi zinasemaje hangaika kujua bosi wako anatakaje.
Ukiteuliwa na yeyote hangaika kujua anatakaje usihangaike kujua professìon yako au sheria inasemaje au katiba ya nchi inasemaje.
Ukiwa chini ya Magufuli hangaika kushangili kujifukiza na nyungu lakini Magufuli akifariki hangaika kuhimiza chanjo ya corona.