Mawaziri na Wafanyakazi wanaodumu kazini ni wale wanaomsoma Rais yukoje na siyo wale wanaoisoma Katiba na Sheria

Kisanduku

JF-Expert Member
Jul 9, 2009
284
482
Rais Samia amesema kwa muda wa miezi sita amekuwa akiwasooma mawaziri na wateuke wake wote na wao pia wakimsoma.

Hii maana yake nini.

Maana yake ukiwa kaxini usihangaike kusoma sheria za kazi na za nchi zinasemaje hangaika kujua bosi wako anatakaje.

Ukiteuliwa na yeyote hangaika kujua anatakaje usihangaike kujua professìon yako au sheria inasemaje au katiba ya nchi inasemaje.

Ukiwa chini ya Magufuli hangaika kushangili kujifukiza na nyungu lakini Magufuli akifariki hangaika kuhimiza chanjo ya corona.
 
Mwanzo Hayanga aliamini atafuata utawala wa sheria na haki. Lakini kadri siku zinavyokwenda anashindwa hicho kitu na kuzidi kuona ukubwa na ufahari wa kile kiti alichokalia.

Hapo alimaanisha yeye ndie mwenye maono, ukienda tofauti na maono yake unaliwa kichwa, tushaanza kuskia raisi anatoa kiasi flani kwa ajili fulani, bado kidogo ataanza kugawa fuba mitaani kama mwendazake.

Muda utaongea.
 
Safi sana kwa andiko lako.

Wale wanao washambulia mawaziri au viongozi flani kuwa walikuwa au wanalamba miguu hili bandiko linawahusu.

Ndiyo maana yule jamaa Sabaya alisema "yote aliyokuwa anafanya aliagizwa..." Leo binadamu wanatupa lawama ovyo ovyo!.

Kuna mtu atasema "kwa nini ukubali kutumika?"
 
images (2).jpeg
 
Ana vision gani? au ndo anakamilisha muda wa hayati, ninachoshuhudia hapa ni kunyang'anya wanyonge vijisenti vyao kwa kisingizio cha zahanati 255 na madarasa 500.
 
Lazima uzingatie sheria na kuganya anachotaka au anachopenda aliyekuteua.

Lazima, kuna watu Wa mwendazake hata kutamka mega watt walitamka meaga wett kama alivyotamka bosi wao.
 
Ni kweli kabisa... Kila kazi ndiyo ipo hivyo...

Ukiifanya mjuaji unapigwa chini...
 
Mwanzo Hayanga aliamini atafuata utawala wa sheria na haki. Lakini kadri siku zinavyokwenda anashindwa hicho kitu na kuzidi kuona ukubwa na ufahari wa kile kiti alichokalia.

Hapo alimaanisha yeye ndie mwenye maono, ukienda tofauti na maono yake unaliwa kichwa, tushaanza kuskia raisi anatoa kiasi flani kwa ajili fulani, bado kidogo ataanza kugawa fuba mitaani kama mwendazake.

Muda utaongea.
Wengine tulioona mbali tukasema ule ulikuwa mwanzo tu..maana alishtukizwa urais. Hakujiandaa, hakuwahi kuchukua hata fomu kaama kina asharoae migiro na balozi amina, hakuwahi pengine hata kuuwazia.
 
Rais Samia amesema kwa muda wa miezi sita amekuwa akiwasooma mawaziri na wateuke wake wote na wao pia wakimsoma.

Hii maana yake nini.

Maana yake ukiwa kaxini usihangaike kusoma sheria za kazi na za nchi zinasemaje hangaika kujua bosi wako anatakaje.

Ukiteuliwa na yeyote hangaika kujua anatakaje usihangaike kujua professìon yako au sheria inasemaje au katiba ya nchi inasemaje.

Ukiwa chini ya Magufuli hangaika kushangili kujifukiza na nyungu lakini Magufuli akifariki hangaika kuhimiza chanjo ya corona.
Iko wazi
 
Wengine tulioona mbali tukasema ule ulikuwa mwanzo tu..maana alishtukizwa urais. Hakujiandaa, hakuwahi kuchukua hata fomu kaama kina asharoae migiro na balozi amina, hakuwahi pengine hata kuuwazia.
Kabisa mkuu mimi sikuwaza hayo, kumbe kweli ule ulikua mwanzo tu.

Na nadhani mwanzo kweli aliahidi toka moyoni ila sasa madaraka yashamlevya, hakuna anabadilisha ni yeye tu anabadilika kwa nguvu aliyonayo.
 
Rais Samia amesema kwa muda wa miezi sita amekuwa akiwasooma mawaziri na wateuke wake wote na wao pia wakimsoma.

Hii maana yake nini.

Maana yake ukiwa kaxini usihangaike kusoma sheria za kazi na za nchi zinasemaje hangaika kujua bosi wako anatakaje.

Ukiteuliwa na yeyote hangaika kujua anatakaje usihangaike kujua professìon yako au sheria inasemaje au katiba ya nchi inasemaje.

Ukiwa chini ya Magufuli hangaika kushangili kujifukiza na nyungu lakini Magufuli akifariki hangaika kuhimiza chanjo ya corona.
Dah kutakuwa na maendeleo ya Kweli hapo?
 
Rais Samia amesema kwa muda wa miezi sita amekuwa akiwasooma mawaziri na wateuke wake wote na wao pia wakimsoma.

Hii maana yake nini.

Maana yake ukiwa kaxini usihangaike kusoma sheria za kazi na za nchi zinasemaje hangaika kujua bosi wako anatakaje.

Ukiteuliwa na yeyote hangaika kujua anatakaje usihangaike kujua professìon yako au sheria inasemaje au katiba ya nchi inasemaje.

Ukiwa chini ya Magufuli hangaika kushangili kujifukiza na nyungu lakini Magufuli akifariki hangaika kuhimiza chanjo ya corona.
This might be among best the thread of 2021! Umeamaliza mchezo wote. Tanzania kiongozi akitaka kubaki madarakani amjue kufuata matakwa ya rais aliyepo na siyo katiba wala sheria za nchi. Kwa kifupi hata kama rais atakosea namna gani basi vingozi wengine hawatakiwi kwenda kinyume naye.
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom