jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,052
- 28,242
Mimi ni muumini mzuri wa imani ya kidini.
Siku zote huwa naheshimu viongozi kwani imani yangu ni kuwa viongozi huteremshwa na kupewa uongozi na mwenyezi Mungu.
Kujipendekeza ili upate uongozi haisaidii hata kidogo.
Imani yangu ni kuwa viongozi wetu wote ni zao la mwenyezi Mungu Mwenyewe.
viongozi wote wanatofautiana na wana karama ya kutofautiana lakini wamepewa karama ya kuboresha jambo.
Nyerere,Mwinyi,Mkapa,Kikwete, Magufuli na sasa Samia wote wana karama na haiba unique.
wote wamefanya mema na wote wanaweza kuwa na mapungufu yao.
wabunge na mawaziro wajotathmini sana kabla ya kuropoka ...Rais sio level yenu.
lets count on their strength and not failures.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Siku zote huwa naheshimu viongozi kwani imani yangu ni kuwa viongozi huteremshwa na kupewa uongozi na mwenyezi Mungu.
Kujipendekeza ili upate uongozi haisaidii hata kidogo.
Imani yangu ni kuwa viongozi wetu wote ni zao la mwenyezi Mungu Mwenyewe.
viongozi wote wanatofautiana na wana karama ya kutofautiana lakini wamepewa karama ya kuboresha jambo.
Nyerere,Mwinyi,Mkapa,Kikwete, Magufuli na sasa Samia wote wana karama na haiba unique.
wote wamefanya mema na wote wanaweza kuwa na mapungufu yao.
wabunge na mawaziro wajotathmini sana kabla ya kuropoka ...Rais sio level yenu.
lets count on their strength and not failures.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!