Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,795
- 71,214
Niliowataja ni wanafiki mno na unafiki wao umezaa woga. Kwao kumuona Rais huwa wanataka kuanguka kama sio haja ndogo kuwatembelea.
Neno hewala, ndio mzee, nani kama Magu, haijapata kutokea rais kama huyu nk nk.
Lakini Sugu ana onyesha kuwa rais apewe heshima yake inayostahili lakini aonyeshwe kuwa ni MTU wa kawaida na ikibidi apelekwe kiselasela tuu.
Kama kuna MTU anaweza kunitafutia picha ya waziri au mbunge wa CCM aliye simama namna hii na kupiga story na mzee Jiwe aiweke hapa.
Neno hewala, ndio mzee, nani kama Magu, haijapata kutokea rais kama huyu nk nk.
Lakini Sugu ana onyesha kuwa rais apewe heshima yake inayostahili lakini aonyeshwe kuwa ni MTU wa kawaida na ikibidi apelekwe kiselasela tuu.
Kama kuna MTU anaweza kunitafutia picha ya waziri au mbunge wa CCM aliye simama namna hii na kupiga story na mzee Jiwe aiweke hapa.