Hilo ni tusi kwa wanananchi, si kwa wabunge. Kazi ya waziri si mbeba bunduki wala mzinga, lakini akumbuke kuna kazi unaweza mpa mjinga yeyote na akaifanya, hata kama si kwa kiwango, lakini si kila kazi inaweza fanywa na yeyote, taaluma ina nafasi yake.Ina maana kati ya wabunge 300+ wa CCM hakuna mwenye afadhali hadi Hangaya anakopa watu nje ya bunge?
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app