Huwa nashindwa kuwaelewa mawaziri bungeni wanavyowasilisha mipango au hoja za Serikali na kusisitiza MUNGU AKIPENDA. Utasikia ujenzi wa daraja hili utakamilika mwakani Mungu akipenda au tutafua umeme wa kutosha nusu ya nchi MUNGU AKIPENDA. Tuelewe mipango ya nchi inayo fail ni kwa sababu MUNGU HAKUPENDA hivyo tusihoji!!