Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Kwa hiyo mkiambiwa ukweli ni Bavicha? Utamsemaje mtu ni Bavicha bila kujua Ideology yake? Kwa taarifa yako tupo ambao sio Bavicha na hata umri hauturuhusu kuwa huko lakini uji.nga wenu hatuuvumilii maana haujengi zaidi ya kupotosha na kuharibu majadiliano yenye tija.
Tanzania mbovu ya sasa ni mzigo kwa vizazi vijavyo tuwe makini. Imagine taifa lote liwe la watu kama wewe kweli linapaswa kuitwa taifa hilo?
Sasa wewe kama una hekima kwa nini umeporomosha mitusi?
Nipishe huko