JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,018
Serekali na CCM inawa-treat Babu Seya na Papii kama NATIONAL HEROES.
Wanafanya hivyo bila kuzingatia mateso waliyopitia, na wanayoendelea kupitia, WAHANGA wa matendo machafu na ukatili ya Babu Seya na Papii.
Mh.Mwakyembe, Mh.Shonza, CCM, na wote wanaowatukuza Babu Seya na Papii, wanayo ya kujifunza toka ktk hotuba hizi hapa chini.
Naomba msikilize hotuba ya Aly Raisman aliyoitoa mahakamani dhidi ya Daktari aliyemfanyia vitendo vichafu vya kinyama wakati akiwa mtoto mdogo.
Wanafanya hivyo bila kuzingatia mateso waliyopitia, na wanayoendelea kupitia, WAHANGA wa matendo machafu na ukatili ya Babu Seya na Papii.
Mh.Mwakyembe, Mh.Shonza, CCM, na wote wanaowatukuza Babu Seya na Papii, wanayo ya kujifunza toka ktk hotuba hizi hapa chini.
Naomba msikilize hotuba ya Aly Raisman aliyoitoa mahakamani dhidi ya Daktari aliyemfanyia vitendo vichafu vya kinyama wakati akiwa mtoto mdogo.