Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,086
- 6,568
Kwa nini mafuta yanapanda kwa namna hii huku kumbe yalinunuliwa zaidi ya miezi minne iliyopita. Kwa nini yapande sasa hivi mwaka huu 2022.
Kwa nini huyu waziri wa pesa na tozo hajajiongeza kuangalia namna ambavyo tozo zinazosababisha mafuta kupanda bei kushushwa? Au kwa sababu yeye tozo kwake ni kipaumbele hata kama raia watahamia Burundi?
Kuna huyu mwingine anaona waTanzania ni wajinga na wapuuzi. Anazunguka kukagua vibao vya anuani za mitaa kwa helkopta bila hata aibu. Pesa nyingi za umma zinatumika bila hata mkuu wa nchi kukemea.
Watanzania tunabamizwa na vitu vizito. Huku mama akiupinga mwingi.
Kwa nini huyu waziri wa pesa na tozo hajajiongeza kuangalia namna ambavyo tozo zinazosababisha mafuta kupanda bei kushushwa? Au kwa sababu yeye tozo kwake ni kipaumbele hata kama raia watahamia Burundi?
Kuna huyu mwingine anaona waTanzania ni wajinga na wapuuzi. Anazunguka kukagua vibao vya anuani za mitaa kwa helkopta bila hata aibu. Pesa nyingi za umma zinatumika bila hata mkuu wa nchi kukemea.
Watanzania tunabamizwa na vitu vizito. Huku mama akiupinga mwingi.