Kiungani
JF-Expert Member
- Feb 2, 2007
- 274
- 71
Alichoandika Mwana Siasa, kinakaribiana sana na walichoandika raia mwema, Soma alichoandika Mwana siasa:
Mtanzania, je hakuna uwezekano kuwa Mwanasiasa pia anaweza kuwa anatumia source hiyo hiyo na Raia Mwema?
Au Mwanasiasa anazipata ndani ya Raia Mwema na kuzileta JF, kwani Raia Mwema inachapishwa mara moja kwa wiki lakini habari zao zinakusanywa kila siku?
Au Mwanasiasa ndiyo huyo huyo 'Mwandishi Maalumu' wa Raia Mwema na anamegea kote kote, Raia Mwema na JF (Kama afanyavyo Mwanakijiji na Maggid Mjengwa)
Kusema kuwa Raia Mwema wanamega kutoka JF halafu ndiyo wachapishe gazeti, ina ugumu sana. JF iko very dynamic na magazeti hayawezi ku-keep up nayo.