Mawaziri kumbukeni kutumia hekima mnapokinzana na walio chini yenu vinginevyo mtaua ubunifu

dmkali

JF-Expert Member
Nov 17, 2014
11,276
21,395
Kuna watu wanadhania kuwa kiongozi mkubwa basi na akili huwa ni nyingi kuliko wengine!

Hii dhana ni mbaya sana kuwamo kichwani mwa yoyote kwasababu Uongozi ni hekima ya kushauriana na waliochini (waliopo site)!

Ifahamike kwamba waliochini ni wengi kuliko kiongozi mmoja!

Kumekuwepo na tabia ya baadhi ya mawaziri/Viongozi kupinga ghafla maamuzi ya watendaji waliokochini yao pasipo kushauriana.

Hili jambo linaharibu sana ali na nguvu ya ubunifu kwa watendakazi! (Kuvunjika moyo)

Mfano sakata la bodaboda na bajaji mjini;
Waziri Bashungwa na viongozi wengine hawakutakiwa kabisa kuzuia tangazo kwa matamko ya ghafla mtandaoni (Confusion)!
Walitakiwa warudishe mamlaka hayo kwa mamlaka ya jiji/Halmashauri ilala-dsm kwa maboresho au ahilisho ya katazo lao!
Ifahamike kwamba wakurugenzi na wafanya kazi walioko kwenye halmashauri huwa hawakurupuki kufikia maamuzi yoyote!

Hawa watu ndiyo walioko site, wanaona kero ilipo, wanaona malalamiko yalipo, wanaona uharibifu na ajali zilivyo!
Maamuzi yao yanajumuisha vikao mbalimbali vya maamuzi kabla ya hitimisho!

Katazo la bodaboda na bajaji kuingia jijini ILALA-DSM siyo la Jana, lipo tangu enzi za Magufuli.
Bajaji na bodaboda waliruhusiwa kwa vibali maalumu tu ambapo kwa baadhi ya maeneo, bajaji za walemavu tu ndiyo waliopewa kibali cha kufanya kazi mjini ! ( hivyo kiufupi boda na bajaji haijawahi kuruhusiwa tangu zamani mbona hawakuwahi kupiga kelele?)

Hata hivyo kumekuwepo na changamoto nyingi hata kwa hayo makundi yaliyoruhusiwa mjini;

Utitiri na uholela wa bodaboda na bajaji katikati ya jiji umekuwa chanzo kikubwa cha foleni, ajali, matusi na lugha chafu mjini, kuziba njia za watembea kwa miguu, wizi na uporaji kwa kutumia bodaboda!

Madereva wengi wa bodaboda na bajaji wamekuwa hawazingatii sheria za usalama na kuchangia ajali nyingi.

Hata hivyo usalama wa abiria uko mashakani kwa baadhi ya madereva bajaji wenye ulemavu kushindwa kuzimudu bajaji zao katika msongamano!

Hivyo pamoja na mambo mengine ya kuhakikisha jiji linabaki safi na salama bodaboda na bajaji walistahili kuzuiwa ili kupatiwa maelekezo mengine!

MAAMUZI HAYO Huwezi kuyapinga kwa kigezo cha HURUMA! Kwasababu hata wale machinga walio ondolewa wangestahili HURUMA hii isingewezekana!

Kama kuondoa bodaboda mjini ni ishu basi na machinga waliobomolewa vibanda warudishwe tuone kama tutafika kwa mtindo huo!

Viongozi wajitafakali katika matamko ya kupinga maamuzi ya watendaji yanashusha sana ali na molali ya kazi.

Bashungwa na viongozi wengine hawakutakiwa kupinga kwa style hiyo! Wangerudisha maelekezo kwa halmashauri ya jiji ili ione namna kuboresha katazo!
 
Acha kujipendekeza na kujifanya mambo safi what if ungekua na mdogo wako kamaliza shule hana ajira ni dereva bodaboda ungeunga mkono haya? Ifike mahali Nchi hii ni ya kwetu sote mbona mnataka wengine waishi kama mashetani?
 
Unapofanya maamuzi makubwa kama hayo lazima tathimini ifanyike ,kwa tathimini ya juujuu unafikiri kati ya wizi na ajira kipi ambacho kinafanya kazi sana kwa hawa ndugu zetu ? . Utakuja kugundua wizi ni mchache kuliko ajira ambazo hivi vyombo vinatoa
Kwa habari ya foleni bodaboda usiiweke kabisa kwasababu yenyewe huwa zina uwezo wa kukuwaisha kama kuna foleni wanapenya sana

Kwa swala la wizi sikatai lipo

Lakini kwa kuwa kuna matapeli kwenye laini za simu tuziondoe kweli laini zisiwepo ,hapo vyombo vya usalama viingie kazini mambo yaendelee

Bodaboda hawa hawa na bajaji unaowaona na wanachuo waliomaliza bila ajira.

Serikali yetu saivi inajali maslahi ya matajiri tu maskini tutakiona cha mtema kuni
 
Acha kujipendekeza na kujifanya mambo safi what if ungekua na mdogo wako kamaliza shule hana ajira ni dereva bodaboda ungeunga mkono haya? Ifike mahali Nchi hii ni ya kwetu sote mbona mnataka wengine waishi kama mashetani?

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Moja ya Sababu ya kuzuiliwa ni kwa Sababu bodaboda mna lugha chafu, wewe ni miongoni mwao
 
Unapofanya maamuzi makubwa kama hayo lazima tathimini ifanyike ,kwa tathimini ya juujuu unafikiri kati ya wizi na ajira kipi ambacho kinafanya kazi sana kwa hawa ndugu zetu ? . Utakuja kugundua wizi ni mchache kuliko ajira ambazo hivi vyombo vinatoa
Kwa habari ya foleni bodaboda usiiweke kabisa kwasababu yenyewe huwa zina uwezo wa kukuwaisha kama kuna foleni wanapenya sana

Kwa swala la wizi sikatai lipo

Lakini kwa kuwa kuna matapeli kwenye laini za simu tuziondoe kweli laini zisiwepo ,hapo vyombo vya usalama viingie kazini mambo yaendelee

Bodaboda hawa hawa na bajaji unaowaona na wanachuo waliomaliza bila ajira.

Serikali yetu saivi inajali maslahi ya matajiri tu maskini tutakiona cha mtema kuni
Hawajazuiliwa kuendesha bodaboda! Walizuiliwa kuingia jijini ilala-dsm!
Hivyo wanaweza kuendeshea nje ya hapo kama wengine wanavyofanya
 
Bushungwa yuko sahihi ,waliotoa hili katazo hawakufikiria zaidi walikurupuka,sijaona sehemu wanazungumzia watu wanaotumia pikipiki zao binafsi kwenda kazini,mean wamekurupuka na kuleta usumbufu mjini,ilibidi wajipange na wafafanue vizuri,
 
Kwanza huko posta kwenyewe wanako hombania siku izi sio kama zama zile..posta siku izi ni mara 1000 ukapige ruti mwenge au morocco au makumbusho

Posta ya sasa hamna kituu, bodaboda wana jazana tu, mfano pale ofisi ya jiji ya zaman boda pale fujo tu wanafunhiana nyororo wenyewe kwa wenyewe

Yaan unakuta jamaa kaa ktk folen yao akaona hamna wateja , anasepa kuzunguka hasa kwenda pale ferry mnara wa kuongozea meli,akifika pale anakutana na jau ya kipangana mstari ..ana geuza kurudi alipotoka.akifika pale anakaa.mnele y mwenzie basi kjna tokeaga mabishano sanaa
 
Bushungwa yuko sahihi ,waliotoa hili katazo hawakufikiria zaidi walikurupuka,sijaona sehemu wanazungumzia watu wanaotumia pikipiki zao binafsi kwenda kazini,mean wamekurupuka na kuleta usumbufu mjini,ilibidi wajipange na wafafanue vizuri,
Ulisoma katazo ukaona wamekataza usiende na pikipiki kazini?
 
Kuna watu wanadhania kuwa kiongozi mkubwa basi na akili huwa ni nyingi kuliko wengine!

Hii dhana ni mbaya sana kuwamo kichwani mwa yoyote kwasababu Uongozi ni hekima ya kushauriana na waliochini (waliopo site)!

Ifahamike kwamba waliochini ni wengi kuliko kiongozi mmoja!

Kumekuwepo na tabia ya baadhi ya mawaziri/Viongozi kupinga ghafla maamuzi ya watendaji waliokochini yao pasipo kushauriana.

Hili jambo linaharibu sana ali na nguvu ya ubunifu kwa watendakazi! (Kuvunjika moyo)

Mfano sakata la bodaboda na bajaji mjini;
Waziri Bashungwa na viongozi wengine hawakutakiwa kabisa kuzuia tangazo kwa matamko ya ghafla mtandaoni (Confusion)!
Walitakiwa warudishe mamlaka hayo kwa mamlaka ya jiji/Halmashauri ilala-dsm kwa maboresho au ahilisho ya katazo lao!
Ifahamike kwamba wakurugenzi na wafanya kazi walioko kwenye halmashauri huwa hawakurupuki kufikia maamuzi yoyote!

Hawa watu ndiyo walioko site, wanaona kero ilipo, wanaona malalamiko yalipo, wanaona uharibifu na ajali zilivyo!
Maamuzi yao yanajumuisha vikao mbalimbali vya maamuzi kabla ya hitimisho!

Katazo la bodaboda na bajaji kuingia jijini ILALA-DSM siyo la Jana, lipo tangu enzi za Magufuli.
Bajaji na bodaboda waliruhusiwa kwa vibali maalumu tu ambapo kwa baadhi ya maeneo, bajaji za walemavu tu ndiyo waliopewa kibali cha kufanya kazi mjini ! ( hivyo kiufupi boda na bajaji haijawahi kuruhusiwa tangu zamani mbona hawakuwahi kupiga kelele?)

Hata hivyo kumekuwepo na changamoto nyingi hata kwa hayo makundi yaliyoruhusiwa mjini;

Utitiri na uholela wa bodaboda na bajaji katikati ya jiji umekuwa chanzo kikubwa cha foleni, ajali, matusi na lugha chafu mjini, kuziba njia za watembea kwa miguu, wizi na uporaji kwa kutumia bodaboda!

Madereva wengi wa bodaboda na bajaji wamekuwa hawazingatii sheria za usalama na kuchangia ajali nyingi.

Hata hivyo usalama wa abiria uko mashakani kwa baadhi ya madereva bajaji wenye ulemavu kushindwa kuzimudu bajaji zao katika msongamano!

Hivyo pamoja na mambo mengine ya kuhakikisha jiji linabaki safi na salama bodaboda na bajaji walistahili kuzuiwa ili kupatiwa maelekezo mengine!
MAAMUZI HAYO Huwezi kuyapinga kwa kigezo cha HURUMA! Kwasababu hata wale machinga walio ondolewa wangestahili HURUMA hii isingewezekana!

Kama kuondoa bodaboda mjini ni ishu basi na machinga waliobomolewa vibanda warudishwe tuone kama tutafika kwa mtindo huo!
Viongozi wajitafakali katika matamko ya kupinga maamuzi ya watendaji yanashusha sana ali na molali ya kazi.

Bashungwa na viongozi wengine hawakutakiwa kupinga kwa style hiyo! Wangerudisha maelekezo kwa halmashauri ya jiji ili ione namna kuboresha katazo!
namuomba sana MUNGU wakuelewe, maana wanapolitiki nchii hii naona hawana weledi wa masuala ya maendeleo
 
Hoja ulizonazo kuhusu Katazo la pikipiki mjini hazina mashiko
Bashungwa anaupiga mwingi sana na amewashika pabaya

Bashungwa kama kiongozi mkubwa kwenu nyie mnaojiita halmashauri ana taarifa sahihi juu ya nini kinaenda kutokea na hata malalamiko kutoka kwa wahusika madereva anazo lakini hata kwenye vikao vyenu vya siri na visivyo vya siri anapata taarifa zenu
Siyo kauli ya bahati mbaya ana taarifa sahihi
Mnataka pikipiki na bajaji zenu ndiyo ziingie mjini kwa kigezo kwamba zina vibali maalum na hawa raia wengine wakiingia mjini wapigwe faini kubwa kuanzia elfu 50 kuendelea yani huu ni mradi mara mbili biashara ya kukamata watu wanaoingia mjini bila vibali na pikipiki zenu kumiliki mji hakuna sababu nje ya hizo
Lakini nadhani mulimsahau Bashungwa kwenye hili dili au labda mlihisi hatokubali ana na nyinyi
 
Hoja ulizonazo kuhusu Katazo la pikipiki mjini hazina mashiko
Bashungwa anaupiga mwingi sana na amewashika pabaya

Bashungwa kama kiongozi mkubwa kwenu nyie mnaojiita halmashauri ana taarifa sahihi juu ya nini kinaenda kutokea na hata malalamiko kutoka kwa wahusika madereva anazo lakini hata kwenye vikao vyenu vya siri na visivyo vya siri anapata taarifa zenu
Siyo kauli ya bahati mbaya ana taarifa sahihi
Mnataka pikipiki na bajaji zenu ndiyo ziingie mjini kwa kigezo kwamba zina vibali maalum na hawa raia wengine wakiingia mjini wapigwe faini kubwa kuanzia elfu 50 kuendelea yani huu ni mradi mara mbili biashara ya kukamata watu wanaoingia mjini bila vibali na pikipiki zenu kumiliki mji hakuna sababu nje ya hizo
Lakini nadhani mulimsahau Bashungwa kwenye hili dili au labda mlihisi hatokubali ana na nyinyi
Sijui hata unatetea nini, kama angekua na taarifa basi angelizuia kabla ya katazo kutolewa! Ujuaji hauwezi kusaidia! Kusigana hadharani kunaleta taharuki za kijinga kabisa
 
Kuna watu wanadhania kuwa kiongozi mkubwa basi na akili huwa ni nyingi kuliko wengine!

Hii dhana ni mbaya sana kuwamo kichwani mwa yoyote kwasababu Uongozi ni hekima ya kushauriana na waliochini (waliopo site)!

Ifahamike kwamba waliochini ni wengi kuliko kiongozi mmoja!

Kumekuwepo na tabia ya baadhi ya mawaziri/Viongozi kupinga ghafla maamuzi ya watendaji waliokochini yao pasipo kushauriana.

Hili jambo linaharibu sana ali na nguvu ya ubunifu kwa watendakazi! (Kuvunjika moyo)

Mfano sakata la bodaboda na bajaji mjini;
Waziri Bashungwa na viongozi wengine hawakutakiwa kabisa kuzuia tangazo kwa matamko ya ghafla mtandaoni (Confusion)!
Walitakiwa warudishe mamlaka hayo kwa mamlaka ya jiji/Halmashauri ilala-dsm kwa maboresho au ahilisho ya katazo lao!
Ifahamike kwamba wakurugenzi na wafanya kazi walioko kwenye halmashauri huwa hawakurupuki kufikia maamuzi yoyote!

Hawa watu ndiyo walioko site, wanaona kero ilipo, wanaona malalamiko yalipo, wanaona uharibifu na ajali zilivyo!
Maamuzi yao yanajumuisha vikao mbalimbali vya maamuzi kabla ya hitimisho!

Katazo la bodaboda na bajaji kuingia jijini ILALA-DSM siyo la Jana, lipo tangu enzi za Magufuli.
Bajaji na bodaboda waliruhusiwa kwa vibali maalumu tu ambapo kwa baadhi ya maeneo, bajaji za walemavu tu ndiyo waliopewa kibali cha kufanya kazi mjini ! ( hivyo kiufupi boda na bajaji haijawahi kuruhusiwa tangu zamani mbona hawakuwahi kupiga kelele?)

Hata hivyo kumekuwepo na changamoto nyingi hata kwa hayo makundi yaliyoruhusiwa mjini;

Utitiri na uholela wa bodaboda na bajaji katikati ya jiji umekuwa chanzo kikubwa cha foleni, ajali, matusi na lugha chafu mjini, kuziba njia za watembea kwa miguu, wizi na uporaji kwa kutumia bodaboda!

Madereva wengi wa bodaboda na bajaji wamekuwa hawazingatii sheria za usalama na kuchangia ajali nyingi.

Hata hivyo usalama wa abiria uko mashakani kwa baadhi ya madereva bajaji wenye ulemavu kushindwa kuzimudu bajaji zao katika msongamano!

Hivyo pamoja na mambo mengine ya kuhakikisha jiji linabaki safi na salama bodaboda na bajaji walistahili kuzuiwa ili kupatiwa maelekezo mengine!
MAAMUZI HAYO Huwezi kuyapinga kwa kigezo cha HURUMA! Kwasababu hata wale machinga walio ondolewa wangestahili HURUMA hii isingewezekana!

Kama kuondoa bodaboda mjini ni ishu basi na machinga waliobomolewa vibanda warudishwe tuone kama tutafika kwa mtindo huo!
Viongozi wajitafakali katika matamko ya kupinga maamuzi ya watendaji yanashusha sana ali na molali ya kazi.

Bashungwa na viongozi wengine hawakutakiwa kupinga kwa style hiyo! Wangerudisha maelekezo kwa halmashauri ya jiji ili ione namna kuboresha katazo!
Kweli kabisa, nadhani panatakiwa pawe na utaratibu wa kupeana majukumu
 
Hao wakurugenzi wadhibitiwe mapema maana usishangae wakimalizana na boda wanakataza IST na vitz zisikanyage mjini
 
Walitakiwa warudishe mamlaka hayo kwa mamlaka ya jiji/Halmashauri ilala-dsm kwa maboresho au ahilisho ya katazo lao!
Ifahamike kwamba wakurugenzi na wafanya kazi walioko kwenye halmashauri huwa hawakurupuki kufikia maamuzi yoyote!

Hawa watu ndiyo walioko site, wanaona kero ilipo, wanaona malalamiko yalipo, wanaona uharibifu na ajali zilivyo!
Maamuzi yao yanajumuisha vikao mbalimbali vya maamuzi kabla ya hitimisho!

Katazo la bodaboda na bajaji kuingia jijini ILALA-DSM siyo la Jana, lipo tangu enzi za Magufuli.
Bajaji na bodaboda waliruhusiwa kwa vibali maalumu tu ambapo kwa baadhi ya maeneo, bajaji za walemavu tu ndiyo waliopewa kibali cha kufanya kazi mjini ! ( hivyo kiufupi boda na bajaji haijawahi kuruhusiwa tangu zamani mbona hawakuwahi kupiga kelele?)
Anayekereka na hao bajaj na bodaboda kuingia katikati ya jiji ni nani? Tuanzie hapo, dalili zinaonyesha wanaokereka ni wenye usafiri binafsi wanaokwenda na kutoka maofisini katikati ya jiji (vibosile), je hawa wasio na magari binafsi watafikaje kwa haraka katikati ya mji? Je hawana haki kuingia kwa usafiri wa kukodi?
 
Wazipige marufuku basi pikipiki,bajaj kuingizwa nchini, tujue moja

Ova
 
Back
Top Bottom