johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,616
- 141,447
Nimekumbuka tu kisa cha bwana mdogo Ngeleja alipokuwa anaongea na simu kwenye kibanda cha ATM huku wananchi wakiwa wamefoleni kusubiri kutoa hela.
Mlinzi alipomuomba akaongelee nje ya kibanda, Ngeleja alimfokea na pale pale akampigia simu boss wa Group 4 Security na kumuagiza amfute kazi. Laana ile inamtafuna Ngeleja hadi kiama.
Wanasiasa msisahau kuwa vyeo ni dhamana leo Magessa Mulongo kapanga foleni Kibamba anasubiri huruma ya kura za maoni.
Maendeleo hayana vyama!
Mlinzi alipomuomba akaongelee nje ya kibanda, Ngeleja alimfokea na pale pale akampigia simu boss wa Group 4 Security na kumuagiza amfute kazi. Laana ile inamtafuna Ngeleja hadi kiama.
Wanasiasa msisahau kuwa vyeo ni dhamana leo Magessa Mulongo kapanga foleni Kibamba anasubiri huruma ya kura za maoni.
Maendeleo hayana vyama!