Hii dhambi ya magufuli kugawa nyumba za serikali kwa vimada, laana yake itamwandama mpaka kifo chake na tar 25 oct watanzania wataonyesha hasira zao kwenye sanduku.
Yaani Waziri agome kuhamia kwenye nyumba ya serikali.mbona haiingii akilini,ningekuwa Rais ningeweka tu option unahamia au huhamii? Ukigoma kuhamia nateua waziri mwingine we nakufuta.Mbona Simple tu
mmh jamani yaani thread zingine zinatia hadi uchungu, sasa bado unakuta mtu anapigia debe current gvt jamani tubadilike, tulete mtu atakaye batilisha mambo haya ya kutafuna pesa za mkulima na mtu mnyonge. Ila tusubiri tu time will tell!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.