SERIKALI mpya ya Rais Jakaya Kikwete iliyoanza kazi rasmi baada ya kuapishwa jana, ipo katika majaribu kutokana na mawaziri wake 17 kufunguliwa kesi mahakamani kupinga matokeo yaliyowapa ushindi kwenye nafasi za ubunge.Jana Rais Kikwete aliwaapisha mawaziri wake wapya 50, Ikulu, jijini Dar es Salaam ambao atafanyakazi nao katika ngwe yake ya mwisho ya miaka mitano akiwa rais.
Mbali ya mawaziri hao, kimbunga hicho cha kisiasa huenda kikawakumba wabunge 20, ambao tayari wamefunguliwa kesi mahakamani kupinga ushindi wao.
Mawaziri 16, wabunge 20 mahakamani
Mbali ya mawaziri hao, kimbunga hicho cha kisiasa huenda kikawakumba wabunge 20, ambao tayari wamefunguliwa kesi mahakamani kupinga ushindi wao.
Mawaziri 16, wabunge 20 mahakamani