RAY DONOVAN
Senior Member
- Jul 2, 2015
- 153
- 145
Kwa kweli tofauti inaonekana lakini I wish Greyson Msigwa na team yake wangejitahidi ku update website ya Ikulu, youtube videos na press releases za matukio.
Pia I wish tungepata taarfa zaidi ya kinachoendelea Ikulu zaidi ya mambo ya Rais. Nashauri Ofisi ya Makamo wa Rais nayo ingepata mabadiliko zaidi maana ni kama non existent
Wana JF mna maoni gani?
Pia I wish tungepata taarfa zaidi ya kinachoendelea Ikulu zaidi ya mambo ya Rais. Nashauri Ofisi ya Makamo wa Rais nayo ingepata mabadiliko zaidi maana ni kama non existent
Wana JF mna maoni gani?