JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,308
- 5,458
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi amewataka mawakili kuharakisha kesi za ardhi zaidi ya 2,000 ambazo zina Mawakili wanaosimamia kwa niaba ya wateja wao.
Waziri Angella Mabula amsemea: “Katika mashauri 3000 yaliyochukua zaidi ya miaka miwili, 2,000 kati yao ni yale ambayo yanasimamiwa na Mawakili wanaowakilisha wateja wao.
Baadhi ya mawakili hawaweki nia ya dhati ya kuwezesha umalizaji wa mashauri hayo kwa wakati na hayo ndiyo yanayochelewa, tunatakiwa kujiuliza kuna nini hapo.
Katibu Mkuu naomba uangalize kwa jicho la tatu mabaraza yote ya Dar es Salaam kwa kuwa ndiko kuna migogoro mingi ya ardhi.
Chanzo: Azam TV
Waziri Angella Mabula amsemea: “Katika mashauri 3000 yaliyochukua zaidi ya miaka miwili, 2,000 kati yao ni yale ambayo yanasimamiwa na Mawakili wanaowakilisha wateja wao.
Baadhi ya mawakili hawaweki nia ya dhati ya kuwezesha umalizaji wa mashauri hayo kwa wakati na hayo ndiyo yanayochelewa, tunatakiwa kujiuliza kuna nini hapo.
Katibu Mkuu naomba uangalize kwa jicho la tatu mabaraza yote ya Dar es Salaam kwa kuwa ndiko kuna migogoro mingi ya ardhi.
Chanzo: Azam TV