The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,875
Nina Ndugu yangu mawakili wake wanamsumbua kwenye kesi aliyowapa..
Copy ya hukumu ..hawampi..
Ushirikiano sifuri...
Je, dawa ya mawakili wasumbufu kama hawa ni IPI?
Tanzania tunazo taasisi za kuwamulika na kuwachunguza mawakili aina hii?
What if walikula rushwa?
Je unaweza kwenda wapi kuomba wachunguzwe?
Copy ya hukumu ..hawampi..
Ushirikiano sifuri...
Je, dawa ya mawakili wasumbufu kama hawa ni IPI?
Tanzania tunazo taasisi za kuwamulika na kuwachunguza mawakili aina hii?
What if walikula rushwa?
Je unaweza kwenda wapi kuomba wachunguzwe?