igogondwa
JF-Expert Member
- Aug 1, 2021
- 2,587
- 3,343
Sasa weweee pimbi unaongelea nini hapa? Unalinganisha jambazi na baba paroko? Hizi siasa uchwara zimewafanya kuwa kima kabisa..Kwa Sabaya mahakama iko vizuri na inapongezwa
Kwa mwenyekiti shida inakuja wenye mamlaka
Tuwache visingizio visivyo vya msingi