1974hrs
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 741
- 535
Habari ya jioni wanajamvi
Naleta uzi kuomba mwongozo kwa jambo lilotokea hivi karibuni.
Nakumbuka mh Diwani wa Mbagala na mwenyekiti wa Yanga alipokuwa na kesi ya madawa alimtumia wakili mwenye element ya upinzani nchini akakosa dhamana kwa muda mrefu lakini alipomuondoa katika uwakilishi kwenye kesi yake akapata dhamana na kesi yake ikamalizika kabisa.
Sasa leo nimeona Lulu michael akihukumiwa kwa kesi ambayo ilisimamiwa na wakili mwenye harufu ya upinzani wa kisiasa na chama tawala.
Mpaka muda huu natamani nione rufaa yake inashughulikiwa na wakili anayeunga mkono chama twawala ili asalimike na kifungo.
Hisia hizi zimekuja kama mfano kwa kuwa hawa ni macelebrities but kuna watu sio maarufu wanawatumia mawakili wa aina hiyo kesi zao zimekuwa ngumu sana.
Wanajamvi je hizi ni hisia zangu tuu au na nyie mnahisi kama nihisivyo mimi.
Karibuni ukumbini
HM
Dady is coming i dont no from where!!!!
Naleta uzi kuomba mwongozo kwa jambo lilotokea hivi karibuni.
Nakumbuka mh Diwani wa Mbagala na mwenyekiti wa Yanga alipokuwa na kesi ya madawa alimtumia wakili mwenye element ya upinzani nchini akakosa dhamana kwa muda mrefu lakini alipomuondoa katika uwakilishi kwenye kesi yake akapata dhamana na kesi yake ikamalizika kabisa.
Sasa leo nimeona Lulu michael akihukumiwa kwa kesi ambayo ilisimamiwa na wakili mwenye harufu ya upinzani wa kisiasa na chama tawala.
Mpaka muda huu natamani nione rufaa yake inashughulikiwa na wakili anayeunga mkono chama twawala ili asalimike na kifungo.
Hisia hizi zimekuja kama mfano kwa kuwa hawa ni macelebrities but kuna watu sio maarufu wanawatumia mawakili wa aina hiyo kesi zao zimekuwa ngumu sana.
Wanajamvi je hizi ni hisia zangu tuu au na nyie mnahisi kama nihisivyo mimi.
Karibuni ukumbini
HM
Dady is coming i dont no from where!!!!