MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,482
- 20,426
Wote wanafanana, wale waliosoma nje na wale waliosoma hapahapa nyumbani - wote wana uwezo mdogo sana.
Huwa wanakuwa na uwezo mkubwa wanapokuwa twitter, baada ya kugoogle sheria mtandaoni na kutweet, lakini wakiwa mahakani ni lazima wateja wao walale mahabusu au wapate kifungo kabisa.
Lema, Mdee, Mbowe, Msigwa, Lijualikali, Sugu nk wote hawataki kabisa kuwasikia hawa mawakili sema ndio hivyo tena hawana la kufanya, ni msimamo wa chama kuwatumia hawa wa kujitolea na wanachama wamechoka kuchangia hizi kesi za kujitolea.
Hawa watu uwezo wao wa kushinda kesi bado ni mdogo sana, sio Jebra, sio Karume Fama, wala Kibatala.
Mbowe angekuwa nje muda mrefu kama kesi yake ingesimamiwa na msomi Msando.
Huwa wanakuwa na uwezo mkubwa wanapokuwa twitter, baada ya kugoogle sheria mtandaoni na kutweet, lakini wakiwa mahakani ni lazima wateja wao walale mahabusu au wapate kifungo kabisa.
Lema, Mdee, Mbowe, Msigwa, Lijualikali, Sugu nk wote hawataki kabisa kuwasikia hawa mawakili sema ndio hivyo tena hawana la kufanya, ni msimamo wa chama kuwatumia hawa wa kujitolea na wanachama wamechoka kuchangia hizi kesi za kujitolea.
Hawa watu uwezo wao wa kushinda kesi bado ni mdogo sana, sio Jebra, sio Karume Fama, wala Kibatala.
Mbowe angekuwa nje muda mrefu kama kesi yake ingesimamiwa na msomi Msando.