Mawakili wa CHADEMA kama wangekuwa sio wa kujitolea, wangekuwa tayari wamefukuzwa kazi mapema sana.

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
May 25, 2015
6,477
20,383
Wote wanafanana, wale waliosoma nje na wale waliosoma hapahapa nyumbani - wote wana uwezo mdogo sana.

Huwa wanakuwa na uwezo mkubwa wanapokuwa twitter, baada ya kugoogle sheria mtandaoni na kutweet, lakini wakiwa mahakani ni lazima wateja wao walale mahabusu au wapate kifungo kabisa.

Lema, Mdee, Mbowe, Msigwa, Lijualikali, Sugu nk wote hawataki kabisa kuwasikia hawa mawakili sema ndio hivyo tena hawana la kufanya, ni msimamo wa chama kuwatumia hawa wa kujitolea na wanachama wamechoka kuchangia hizi kesi za kujitolea.

Hawa watu uwezo wao wa kushinda kesi bado ni mdogo sana, sio Jebra, sio Karume Fama, wala Kibatala.

Mbowe angekuwa nje muda mrefu kama kesi yake ingesimamiwa na msomi Msando.
 
Wote wanafanana, wale waliosoma nje na wale waliosoma hapahapa nyumbani - wote wana uwezo mdogo sana.
Huwa wanakuwa na uwezo mkubwa wanapokuwa twitter, baada ya kugoogle sheria mtandaoni na kutweet, lakini wakiwa mahakani ni lazima wateja wao walale mahabusu au wapate kifungo kabisa.
Lema, Mdee, Mbowe, Msigwa, Lijualikali, Sugu nk wote hawataki kabisa kuwasikia hawa mawakili sema ndio hivyo tena hawana la kufanya, ni msimamo wa chama kuwatumia hawa wa kujitolea na wanachama wamechoka kuchangia hizi kesi za kujitolea.
Hawa watu uwezo wao wa kushinda kesi bado ni mdogo sana, sio Jebra, sio Karume Fama, wala Kibatala. Mbowe angekuwa nje muda mrefu kama kesi yake ingesimamiwa na msomi Msando.
Kwahiyo msagasumu unataka kumwaga sumu gani?
 
Wote wanafanana, wale waliosoma nje na wale waliosoma hapahapa nyumbani - wote wana uwezo mdogo sana.
Huwa wanakuwa na uwezo mkubwa wanapokuwa twitter, baada ya kugoogle sheria mtandaoni na kutweet, lakini wakiwa mahakani ni lazima wateja wao walale mahabusu au wapate kifungo kabisa.
Lema, Mdee, Mbowe, Msigwa, Lijualikali, Sugu nk wote hawataki kabisa kuwasikia hawa mawakili sema ndio hivyo tena hawana la kufanya, ni msimamo wa chama kuwatumia hawa wa kujitolea na wanachama wamechoka kuchangia hizi kesi za kujitolea.
Hawa watu uwezo wao wa kushinda kesi bado ni mdogo sana, sio Jebra, sio Karume Fama, wala Kibatala. Mbowe angekuwa nje muda mrefu kama kesi yake ingesimamiwa na msomi Msando.
Kwahiyo Msagasumu mnabambikia mkiamini kuwa karibuni watakuwa huru au mawazo yako ni yapi hapa?
 
Wote wanafanana, wale waliosoma nje na wale waliosoma hapahapa nyumbani - wote wana uwezo mdogo sana.
Huwa wanakuwa na uwezo mkubwa wanapokuwa twitter, baada ya kugoogle sheria mtandaoni na kutweet, lakini wakiwa mahakani ni lazima wateja wao walale mahabusu au wapate kifungo kabisa.
Lema, Mdee, Mbowe, Msigwa, Lijualikali, Sugu nk wote hawataki kabisa kuwasikia hawa mawakili sema ndio hivyo tena hawana la kufanya, ni msimamo wa chama kuwatumia hawa wa kujitolea na wanachama wamechoka kuchangia hizi kesi za kujitolea.
Hawa watu uwezo wao wa kushinda kesi bado ni mdogo sana, sio Jebra, sio Karume Fama, wala Kibatala. Mbowe angekuwa nje muda mrefu kama kesi yake ingesimamiwa na msomi Msando.
Uwezo wao ni wakuchukulia watu dhamana vituoni!
 
Back
Top Bottom