kuna mabox ya biskut baadhi ya wasimamizi wamekuja nayo kama chakula,pliz do not eat anythng
Mkuu una maana watu wapo kwenye swaumu!
issue hapa si kula! Je, wameyakagua hayo makasha ya vyakula? Hata kama ni ya chadema mawakala wa vyama vyote wakague yasijekua na karatasi za kuharibu kura!! Kuna wakati watu waliweka karatasi kwenye chips wakaingiza kwenye vituo lakini wakakamatwa. Ukiwaambia wasile ina maana unawatisha hata wasikague wakidhani hewa yake itawadhuru!! Duh!!