chonde chonde watanzania mlioko nyumbani, msituangushe jamani. tumieni fursa hii kufanya maamuzi makuu. maamuzi yatakayotupa faraja sisi na vizazi vyetu kwa kipindi cha miaka mitano ijavyo.
Mwaona jk anavyotaka kufanya tanzania kuwa kingdom?? Hatima yetu iko mikononi mwenu leo,nyie mlioko nyumbani.
waelimisheni mawakala jamani.. wasitoke nje wote.
washikaji wamejipanga kuiba kwa njia yoyote.
kwa hiyo kuweni makini.
Mwaona jk anavyotaka kufanya tanzania kuwa kingdom?? Hatima yetu iko mikononi mwenu leo,nyie mlioko nyumbani.
waelimisheni mawakala jamani.. wasitoke nje wote.
washikaji wamejipanga kuiba kwa njia yoyote.
kwa hiyo kuweni makini.