Mawakala wa Kutoa/Kuweka Pesa Walivyo wezi wa Pesa za Wateja

Kwani kwenye simu ya Bibi yetu Kuna hela nyingi Sana kiasi kwamba anaibiwa hivyo na Bado nyie wote mnaomtumia na anayetumiwa hamjui hell zilizomo Ni sh?
Na huenda huyo mwizi anaangalia balance mara kwa mara, akiona mpunga upo anahamisha kiasi
 
Airtel App haiwezi kuwa authenticated with other networks SIM.

Pia simcard tofauti haiwezi fungua kwa number tofauti. Kama kuna njia anaiba ni nyingine ila siyo airtemoney App.

Nimetoka kujaribu kwa Wifi isiyo ya airtel hai connect.

Wifi ambayo source yake ni airtel inaniletea number ya kule kwenye hotspot.
 
Na huenda huyo mwizi anaangalia balance mara kwa mara, akiona mpunga upo anahamisha kiasi
Huyo wakala kama ame download App ya Airtel Money ili aibe hizo hela hakika angekuwa anazituma kwenye namba ambayo haijasajiliwa kwa majina yake ili asiache loose end.

Mi nadhani atakuwa anamtolea hela huyo Bibi kwa kujitumia halafu anabalance makato ya kitolea hela ili apate faida kubwa maana haiwezekani mihamara zaidi ya 25 hela zinaibiwa halafu hawajui.
 
Nimejaribu kufuatilia Tena ni kwamba hawa wazee wakienda kutoa pesa hawapi namba ya Till ya Airtel money, yeye anajitumia kwenye simu yake then mlengwa anapewa pesa na kuondoka.

So ninajiuliza anakuwaje wakala wa Airtel wakati Till ya Airtel Hana?

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo wakala ni mhuni sana, na pia huenda hiyo miamala 25 ambayo umeambiwa na Airtel inaweza kuwa ni miamala halisi kabisa aliyotolea mother pesa, ila huenda pia kati ya hiyo 25 baadhi ikawa ni ya kuibiwa eg huo muamala wa mwisho
 
Huyo wakala kama ame download App ya Airtel Money ili aibe hizo hela hakika angekuwa anazituma kwenye namba ambayo haijasajiliwa kwa majina yake ili asiache loose end.

Mi nadhani atakuwa anamtolea hela huyo Bibi kwa kujitumia halafu anabalance makato ya kitolea hela ili apate faida kubwa maana haiwezekani mihamara zaidi ya 25 hela zinaibiwa halafu hawajui.
Anajitumia bila Mama kujua, so aNawaibia Watu hivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Au jamaa amesajili line nyingine ambayo Mama akiwa offline ndio jamaa anaweka na kufanya hyo miamala Mkuu?.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza badilisha no ya siri sasa hivi. Ukienda police hakikisha hiyo ishu unampa askari ambae unajua hawezi kukuzunguka.

Maana ishu kama hiyo si utawaachia no ya huyo kijana ili wafatilie? Watampigia simu wampige mzinga wamwambie kila kitu.

Cha kufanya mface direct nenda na mama mwambie nani kafanya mhamala huu wakati mama hajaja hapa? Mwambie ukweli kuwa ni yeye anaejua no ya siri na mpe onyo. Mbane pale pale akigoma mwache maana ashakula nyingi tu.
badilisha no ya siri tafuta mtu mwingine ambae ni mwaminifu kidogo ndo awe anamtolea pesa.

Lakini mwaweza mfundisha dogo huyo wa 12yrs awe anaenda na bibi yake kutoa hela.ingawa nae akinogewa ataiba tu, ila bora ale yeye na sio hao wezi.
Inshort mazingira ya mama yenu kutoa hela kwenye sim ni magumu. Mkimpa konda azipeleke mkono kwa mkono nae anazila dah inachanganya.
 
Mfuate hyo pimbi mzabe makofi matatu ya ukweli bro upunguze hasira maana amna utakachopata zaidi ya hicho.
 
Kwanza badilisha no ya siri sasa hivi. Ukienda police hakikisha hiyo ishu unampa askari ambae unajua hawezi kukuzunguka.

Maana ishu kama hiyo si utawaachia no ya huyo kijana ili wafatilie? Watampigia simu wampige mzinga wamwambie kila kitu.

Cha kufanya mface direct nenda na mama mwambie nani kafanya mhamala huu wakati mama hajaja hapa? Mwambie ukweli kuwa ni yeye anaejua no ya siri na mpe onyo. Mbane pale pale akigoma mwache maana ashakula nyingi tu.
badilisha no ya siri tafuta mtu mwingine ambae ni mwaminifu kidogo ndo awe anamtolea pesa.

Lakini mwaweza mfundisha dogo huyo wa 12yrs awe anaenda na bibi yake kutoa hela.ingawa nae akinogewa ataiba tu, ila bora ale yeye na sio hao wezi.
Inshort mazingira ya mama yenu kutoa hela kwenye sim ni magumu. Mkimpa konda azipeleke mkono kwa mkono nae anazila dah inachanganya.
Nitaenda polisi Kureport

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nenda polisi
Unao muamala ambao haujafanywa na simu ya mama Ako

Alafu kupitia polisi hao airtel wanaweza toa ushirikiano waliokunyima

Alafu ukifanya muamala kupitia app wao wanajua
Na kupitia USSD wanajua Ivo kazi ni ndogo tu
 
Yes Yaaani meseji ya Airtel money inakuja kwamba mama katuma kiasi fulani kwenye hyo namba ya huyo Wakala Wakati Mama wala hajafanya huo Muamala

Sent using Jamii Forums mobile app
Miamala ambayo katuma na hajaenda kwa wakala iyo kaibiwa.

Ila mi nahisi kuna mihamala ambayo katuma na amepewa hela maana sikuizi mawakala wengi wanaopewa simu na wateja ambao hawajui kutoa hela na wateja hao wanawafahamu, mawakala wanatoa kwa kujitumia.
 
Wakuu Habari ya Mchana.

Niko Likizo ya Sikuukuu za Mwisho Wa Mwaka Huku Kijijini Kwetu.

Mama yangu Mzazi Anaishi Huku Kwetu Kijijini na Ni Mtu mwenye umri wa takriban miaka 90.

Watoto wake Uwaga tunakawaida ya Kutuma Hela Za Matumizi kwa ajili yake na Matumizi ya Nyumbani Kwa Ujumla.

Hapa Nyumbani Kijijini kwetu anaishi Mama, Mtoto wa Marehemu Kaka ana miaka 12, na Msaidizi wa Ndani.

Mama yetu licha ya Kuwa na umri huo Bado anatembea na anaona Vzr.

Kwa hyo Hapa Kijijini Kuna Kijana anafanya Issue za Mpesa, Airtel Money Nk kwa maana ya Money Transaction.

Kwa hyo Wazee wenye Umri wa Mama wanaenda Hapo Kupata huduma ya Kutoa Fedha so Kwa Umri wake na Hawezi kufanya process ya Kutoa pesa.

So Wazee Wetu wakifika Hapo kibandani kwa hyo mwamba wanatabia ya Kumpa Simu Ili Awasaidie kutoa kiasi wanachokihitaji so huyo Jamaa anajua Namba za Siri Za Kutolea pesa za hawa wazee wetu Hapa Vijijini.

Sasa Juzi Niko Na Mama Tumekaa mida Ya Sa12 jioni Ikaingia Meseji ya Airtel money Kwamba Mama amefanya muamala wa 145000/=kwenda kwa hyo Wakala kwa namba yake binafsi.

Nikamuuliza Mama leo umeenda kutoa pesa kwa hyo Wakala wa hapa kijijini, Mama akaniambia sijaenda huko na hata kama nikienda siwezi kutoa hela yote hyo na natumaje hela kwa namba yake binafsi badala ya kutoa kwenye Till # ya Wakala.

Sasa huyu Mtoto wa Braza akanaMbia kama week hivi ilikuja meseji Kwamba mama amemtumia hyo kijana tena 18500/=

So ikabidi nifuatilie kwa Kupiga Namba ya Huduma kwa Wateja Ya Airtel, Wakaniambia kwamba ni kweli Muamala huo umefanyika na ipo miamala mingine takribani 25 ambayo mama yako ametuma kwa hyo kijana.

Ikabidi nimuulize hyo mtaalamu wa Airtel kwamba inakuwaje anaamisha pesa kutoka kwenye simu ya Mama na Simu wakati anayo Mama?

Wakanijibu Kwamba yawezekana huyo Wakala ana Smartphone ambayo ame download apps ya Airtel money So Ndio anatumia kutoa hyo pesa hata kama hana simu.

Wakaniambia Mtu akiwa na hyo Apps yoyote ya hizi huduma za kifedha na akawa na namba yako ya simu na akawa na namba yako ya Siri anauwezo wa kutoa au kuangalia Salio lako bila ww mwenye simu kujua.

Wakuu niko njia panda naombeni ushauri wenu jinsi ya kudeal na huyu Mtu Kabla Sijarudi mjini maana atakuwa ameshawaumiza Sana Wazee Wetu Hapa Kijijini.

Nawasilisha Wakuu

Sent using Jamii Forums mobile app

Ita polisi wambebe , atatema zoote, watu wa kijijini akiona polisi anaweza hata ajikojolee kabla ya kufanywa lolote na ikiwezekana peleka mahakamani chaapu
 
Wakuu Habari ya Mchana.

Niko Likizo ya Sikuukuu za Mwisho Wa Mwaka Huku Kijijini Kwetu.

Mama yangu Mzazi Anaishi Huku Kwetu Kijijini na Ni Mtu mwenye umri wa takriban miaka 90.

Watoto wake Uwaga tunakawaida ya Kutuma Hela Za Matumizi kwa ajili yake na Matumizi ya Nyumbani Kwa Ujumla.

Hapa Nyumbani Kijijini kwetu anaishi Mama, Mtoto wa Marehemu Kaka ana miaka 12, na Msaidizi wa Ndani.

Mama yetu licha ya Kuwa na umri huo Bado anatembea na anaona Vzr.

Kwa hyo Hapa Kijijini Kuna Kijana anafanya Issue za Mpesa, Airtel Money Nk kwa maana ya Money Transaction.

Kwa hyo Wazee wenye Umri wa Mama wanaenda Hapo Kupata huduma ya Kutoa Fedha so Kwa Umri wake na Hawezi kufanya process ya Kutoa pesa.

So Wazee Wetu wakifika Hapo kibandani kwa hyo mwamba wanatabia ya Kumpa Simu Ili Awasaidie kutoa kiasi wanachokihitaji so huyo Jamaa anajua Namba za Siri Za Kutolea pesa za hawa wazee wetu Hapa Vijijini.

Sasa Juzi Niko Na Mama Tumekaa mida Ya Sa12 jioni Ikaingia Meseji ya Airtel money Kwamba Mama amefanya muamala wa 145000/=kwenda kwa hyo Wakala kwa namba yake binafsi.

Nikamuuliza Mama leo umeenda kutoa pesa kwa hyo Wakala wa hapa kijijini, Mama akaniambia sijaenda huko na hata kama nikienda siwezi kutoa hela yote hyo na natumaje hela kwa namba yake binafsi badala ya kutoa kwenye Till # ya Wakala.

Sasa huyu Mtoto wa Braza akanaMbia kama week hivi ilikuja meseji Kwamba mama amemtumia hyo kijana tena 18500/=

So ikabidi nifuatilie kwa Kupiga Namba ya Huduma kwa Wateja Ya Airtel, Wakaniambia kwamba ni kweli Muamala huo umefanyika na ipo miamala mingine takribani 25 ambayo mama yako ametuma kwa hyo kijana.

Ikabidi nimuulize hyo mtaalamu wa Airtel kwamba inakuwaje anaamisha pesa kutoka kwenye simu ya Mama na Simu wakati anayo Mama?

Wakanijibu Kwamba yawezekana huyo Wakala ana Smartphone ambayo ame download apps ya Airtel money So Ndio anatumia kutoa hyo pesa hata kama hana simu.

Wakaniambia Mtu akiwa na hyo Apps yoyote ya hizi huduma za kifedha na akawa na namba yako ya simu na akawa na namba yako ya Siri anauwezo wa kutoa au kuangalia Salio lako bila ww mwenye simu kujua.

Wakuu niko njia panda naombeni ushauri wenu jinsi ya kudeal na huyu Mtu Kabla Sijarudi mjini maana atakuwa ameshawaumiza Sana Wazee Wetu Hapa Kijijini.

Nawasilisha Wakuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo ni mwizi,mkamateni tu
 
Hivi unajielewa kweli wewe....
Kwanza ningekua mimi ndio moods nishakupiga ban ya wiki mbili ili akili ikukae sawa.
Watu wenye akili mgando kama wewe ndio wanao chelewesha mabadiliko ya hiki chama cha kijani kutoka madarakani.
Yaani hadi ushahidi unao, jamaa alitakiwa saizi yupo ICU na pingu mkononi anasubiri kuzindika tu ajikute mahakamani hata kama ni jumapili.
Mama amesema vijana TUCHAKARIKE

Mama yenu huyu ni Saa Mbovu , asee mimi hawezi kuwa mama yangu huyu
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom