Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,671
- 8,237
- Thread starter
- #21
Mkuu siko Hapa Kukuaminisha ww na hata kama unaamini ninakudanganya basi elewa ninajidanganya Mwenyewe.Jamaa ni muongo au tuseme anatia mashaka, kwa kutumia APP ni kweli inawezekana lakini kila baada ya muda fulani ukifungua APP (TigoPesa) huwa kuna CODE inatumwa kwenye namba (LINE) iliyotumika wakati wa kuinstall hiyo APP.
Ikiwa haipo kwenye simu hiyo basi huwezi kuipata hiyo code na hivyo huwezi kuendelea.
Huyu anayedai miamala takribani 25 ni NGUMU SANA kumwamini hapa.
Nimeleta huu uzi ili nipate mawazo ambayo ni way forward ila unani attack personally
Sent using Jamii Forums mobile app