Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani wana jf mmeona jinsi CUF ilivyoambulia 0 katika vituo vingi Igunga. Hapa ni kwamba hata mawakala wa CUF ambao wameandaliwa na CCM hawakuipigia kura CUF
kazi tunayo, wakati tukilinda kura zisiibiwe, wapinzani wenzetu wanaungana na magambaNadhani wana jf mmeona jinsi CUF ilivyoambulia 0 katika vituo vingi Igunga. Hapa ni kwamba hata mawakala wa CUF ambao wameandaliwa na CCM hawakuipigia kura CUF
Nadhani wana jf mmeona jinsi CUF ilivyoambulia 0 katika vituo vingi Igunga. Hapa ni kwamba hata mawakala wa CUF ambao wameandaliwa na CCM hawakuipigia kura CUF
Kweli mkuu maana kwa sasa hata CUF kuna watu wanaganga njaa tu lkn moyoni wanawakubali magwanda.Inawezekana walitoka nje ya Igunga (kama ilivyofanya CHADEMA)so wakakosa sifa za kupiga kura, ila kusimamia wakawa hawana pingamizi. Lakini pia inawezekana wameipigia kura CHADEMA !!