Nadhani wana jf mmeona jinsi CUF ilivyoambulia 0 katika vituo vingi Igunga. Hapa ni kwamba hata mawakala wa CUF ambao wameandaliwa na CCM hawakuipigia kura CUF
Inawezekana walitoka nje ya Igunga (kama ilivyofanya CHADEMA)so wakakosa sifa za kupiga kura, ila kusimamia wakawa hawana pingamizi. Lakini pia inawezekana wameipigia kura CHADEMA !!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.