Njowepo
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 9,710
- 2,239
I have a strong feelings kuwa Marando anaweza kushinda uspeaker hasa kutokana na karata za CCM kwenda ndivyo sivyo why
Makundi matatu yatampigia Marando
1.CHADEMA
2.CUF,TLP and NCCR
3.CCM waliokuwa wakimtaka Sitta ie kambi ya Sitta
Mungu ametupa nafasi ingine watanzania hasa wabunge msituangushe.
Tena kuna haja ya kuwa na wakala wa kuhesabu izo kura kutoka upinzani pls
Makundi matatu yatampigia Marando
1.CHADEMA
2.CUF,TLP and NCCR
3.CCM waliokuwa wakimtaka Sitta ie kambi ya Sitta
Mungu ametupa nafasi ingine watanzania hasa wabunge msituangushe.
Tena kuna haja ya kuwa na wakala wa kuhesabu izo kura kutoka upinzani pls