Mawakala/agents wa Safaricom waanza kupokea kichapo Nyanza

Magufuli ni Raisi wa JMTZ wakati Odinga Mfalme wa Wajaluo kama Mbowe alivyokuwa Mfalme wa Wachaga!
Sizonje pia ni mfalme wa kanda hiyo alitokea Raila. Kama angekuwa presida wa wote asingebomoa Kimara akaacha mwanza !
 
Hujui chochote. Ungesema raia wa Nyanza, huku Kenya hamna cha kususia wala nini. Sasa hivi kwenye kaunti yangu watu wanapeana offer za maziwa ya Brookside utadhani ni Tusker.
hiyo brookside yenyewe ni majimaji sana,wamearibu sana.
try KCC utajionea tofauti
 
Kwani Nyanza sio kenya?nyie watu aliewaroga kafa yaani upo tayari kuigawa nchi yako kisa tu hupendwi huko
Tumesha toka kwenye siasa sasa tuko kwenye ubabe wa kibiashara. Nyanza si Kenya ni Kavirondo. Mnawataka?
 
Serikali ya Kenya ipige marufuku mitandao yote ya simu sehemu zote wafuasi wa NASA wanaofanyia fujo wafanyakazi wa Safaricom
 
Siasa za kenya bwana !!! ni hatari.

utakuja kushangaa hii ikawa silaha kubwa sana kwa watawala na makampuni lengwa.

Kama wana ukabila na Raila ana wapiga kura zaidi ya Million 10 + Jumlisha ndugu zao+jumlisha watoto wao + Jumlisha ukabila+jumlisha Ukanda.

Unaweza kuta Safaricom wakatafuta kazi zingine.
 
Siasa za kenya bwana !!! ni hatari.

utakuja kushangaa hii ikawa silaha kubwa sana kwa watawala na makampuni lengwa.

Kama wana ukabila na Raila ana wapiga kura zaidi ya Million 10 + Jumlisha ndugu zao+jumlisha watoto wao + Jumlisha ukabila+jumlisha Ukanda.

Unaweza kuta Safaricom wakatafuta kazi zingine.
Wakatafuta kazi nyingine au wakatafute tayari? Li kampuni lenyewe ndo mapato yameshuka kwa 70% within 1 week.
 
Hii ni kutokana na agizo la Raila la kususia bidhaa zozote znahusiana na baadhi ya kampuni alizotaja.
Mawakala wa Safaricom waliishia kutimka mbio baada ya kuanza kupokea kichapo kutoka kwa hao wafuasi wa Raila.
------------------------------------------------

Safaricom dealers say that the call for boycott of its products by opposition coalition Nasa has affected business in parts of Nyanza region.

The group, at a press conference Monday morning, said the boycott call has slowed down business that was already affected by the protracted electioneering period.

“We've got reports from Homa Bay area where people have been physically harmed," said Kennedy Ondiek, a Safaricom dealer in Rift Valley, Nyanza and part of Western Kenya.

Jerim Ouko, owner of Simba Telecom which has a countrywide presence, told the Business Daily today that his business in Nyanza and Western – largely considered Nasa strongholds – had been hit since the boycott call was made on Friday.

“Safaricom agents who are doing activation there had to literally run for their lives and all their things were confiscated last Friday,” Ouko said.

The group claims that more than a million Kenyans stand to be directly affected in the call to boycott products.

Opposition call

Nasa on Friday called for Kenyans to boycott Safaricom for its alleged role in aiding the rigging of the August 8 election and October 26 presidential elections.

Raila Odinga, Nasa’s leader and presidential candidate, successfully contested President Uhuru Kenyatta’s win in the August 8 poll and boycotted the fresh election that the Supreme Court ordered, insisting it would not be “free and fair”.

The opposition alliance has accused Safaricom, which was contracted by the Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC) to help with results transmission, of messing up the assignment and aiding the cover-up in the period that followed.

Esther Muchemi, owner of Samchi Telecom, told the Business Daily on the sidelines of Monday's press briefing that her business had declined by nearly a third during the extended poll period.

“We have felt the pinch and we don’t want it continue much longer,” Ms Muchemi, who is also chair of the Safaricom Dealers Association, said.

Safaricom dealers account for about 80 per cent of its retail business, which includes selling airtime cards in wholesale and managing M-Pesa float on a regional basis.

Safaricom dealers say agents harmed after boycott call

Raila anachapa bakora/viboko wajaluo wenzake!!!!aisheee! Ero kamanoo, waswahili husema nguruwe anakula watoto wake mwenyewe!!! Unbelivable but that is the reality for Hon Raila Orengo, Anyang Babu Owino! Hii ni kwa sababu ndugu zao ndo watafukuzwa kazi au watakosa kufanya biashara kwa sababu tu ya viongozi wachache kati yao wanataka madaraka serikalini!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom