JAYJAY
JF-Expert Member
- Oct 31, 2008
- 7,494
- 7,517
---- jamaa tangu amepanda basi kutoka Kariakoo yeye amefungulia simu yake loudspeaker. Watu wamemvumilia ile kufika Ubungo jamaa aliyekuwa naye siti moja akambadilikia kwamba aweke earphones au azime simu yake. Hapo ndipo zogo lilipoanzia, abiria wakagawanyika kila mmoja akisapoti upande wake yaani basi zima zogo. Kweli nimeamini Taifa linazidi kugawanyika kidini sijui hatima yake ni nini!? Yaani mpaka nashuka StopOver zogo nimeacha linaendelea ingawa yule jama alishuka Kimara Mwisho, nadhani mpaka Mbezi