britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,634
- 30,000
Mtume anasema Mwanaume yeyote akikuhita Mwananke Godoroni ukakataa unalaaniwa asee
Aminn..Ndio wanawake wawe wanafuata mafundisho ya Mnyazi Mungu kama wanavoelekeza masheikh
Inahusu waliooana tu. Sikiliza mpaka mwisho.Mtume anasema Mwanaume yeyote akikuhita Mwananke Godoroni ukakataa unalaaniwa asee
Yeye kabeba anachokihitaji, kimemtosha hataki kusikiliza mpaka mwisho kuelewa zaidi..Inahusu waliooana tu. Sikiliza mpaka mwisho.
Hiyo ndio starehe ya dunia.. Wengi tunajitia hatupendi una kamke kamoja bado una michepuko kadha wa kadhaa, jambo ambalo si jema.Ila jamaa alikuwa anapenda vile vimichezo
Mtume anasema Mwanaume yeyote akikuhita Mwananke Godoroni ukakataa unalaaniwa asee
AiseeeHiyo ndio starehe ya dunia.. Wengi tunajitia hatupendi una kamke kamoja bado una michepuko kadha wa kadhaa, jambo ambalo si jema.
Mfano mdogo una mke mmoja ama hata wa4 na una mchepuko pia, mchepuko unaugharamia vizuri tu, sasa kwann asiwe mke, kwanin hizo gharama zisirudishwe kwenye familia..
Kwichi kwichi ndio starehe tanzu duniani.. Hata adam alikuwa peponi, na raha zoote tunazozisikia peponi lakini bado alionekana kamiss kitu akaumbiwa hawa ili anyooshe goti.
Wacha kabisa na KAMNYWESO.
Akikuhita.!????Mtume anasema Mwanaume yeyote akikuhita
Mimi mwenyewe nimebaki njia panda...nilidhani mwandishi alimaanisha, 'Akikuhitaji' akasahau kumalizia.Akikuhita.!????
Baraza la kiswahili bado tunajukumu zito sana..
Nje ya mada
Mtume anasema Mwanaume yeyote akikuhita Mwananke Godoroni ukakataa unalaaniwa asee
Mimi mwenyewe nimebaki njia panda...nilidhani mwandishi alimaanisha, 'Akikuhitaji' akasahau kumalizia.
Kumbe alimaanisha 'Akikuita'...kazi ipo
Hapo ndipo mzizi wa uislamu ulipo.Ila jamaa alikuwa anapenda vile vimichezo
Mtume anasema Mwanaume yeyote akikuhita Mwananke Godoroni ukakataa unalaaniwa asee