umeandika nini na tuelewe nini hapo? unakimbizwa? andika habari kamili uelewekeNiko hapa toka asubuhi baada ya kujidai mmbishi na sitatoa kitu,kweli watu wa chini wananyanyasika na rushwa hapa mpaka 500 wanapokea ,NIDA fuatilieni hivi vitu hatutungi haya mambo ndio yanayoendelea huku vituoni
Niko hapa toka asubuhi baada ya kujidai mmbishi na sitatoa kitu,kweli watu wa chini wananyanyasika na rushwa hapa mpaka 500 wanapokea ,NIDA fuatilieni hivi vitu hatutungi haya mambo ndio yanayoendelea huku vituoni
Jieleze vyema tafadhali maana nimesoma sijaelewa .Kuna tatizo gani ? Hapa JF tupe taarifa kwa uhakika na si kwa haraka hivi .Haya anza tena
umeandika nini na tuelewe nini hapo? unakimbizwa? andika habari kamili ueleweke
acha kushabikia ujinga wewe usingekuwa hapo kwenye tukio ungeelewa? hili sio jukwaa la poor thinkers mkipost vitu kuweni makini basi'nilivyomuelewa mimi ni kwa kwanza ameshavurugwa tayari ni kwamba tangu asubuhi yupo hapo kituoni na watu ni wengi sana na alishaapa kuwa hatatoa rushwa ndo mana bado yupo..................ukihitaji t-shirt ya kupigia picha labda kama t-shirt yako ina rangi zisizohitajika inabidi wakupe wao mara moja upigie sasa wanatoa kwa rushwa ya sh 500 na ukitaka upigwe picha fasta itakulazimu utoe 1000 mpaka 2000 ni simple like that kipi kisichoeleweka hapo,akili za kupewa changanya na za kwako ndugu'
hizi hulka zenu pelekeni facebook'huyu ameshavurugwa na kueleweka anaeleweka labda kwa mwenye mawazo mgando hatoweza kumuelewa ila ameeleweka vizuri tu soma hiyo comment ya juu kabla ya hii umeshatafuniwa bado kumeza tu'
Niko hapa toka asubuhi baada ya kujidai mmbishi na sitatoa kitu,kweli watu wa chini wananyanyasika na rushwa hapa mpaka 500 wanapokea ,NIDA fuatilieni hivi vitu hatutungi haya mambo ndio yanayoendelea huku vituoni
acha kushabikia ujinga wewe usingekuwa hapo kwenye tukio ungeelewa? hili sio jukwaa la poor thinkers mkipost vitu kuweni makini basi
umeandika nini na tuelewe nini hapo? unakimbizwa? andika habari kamili ueleweke
jana nilikwepo ubungo nhc pale shuleni. Km huna shati linalokubalika unakodi kwa mia tano yapo pale hahaha wabongo kwa biashara haramu
ni zoezi la upigaji wa picha na kuchukua alama za vidole kwa wale walioandikishwa na NIDA kupatiwa national IDs.Wanaandikisha daftari la kudumu la wapiga kura ama kitu gani?
'nilivyomuelewa mimi ni kwa kwanza ameshavurugwa tayari ni kwamba tangu asubuhi yupo hapo kituoni na watu ni wengi sana na alishaapa kuwa hatatoa rushwa ndo mana bado yupo..................ukihitaji t-shirt ya kupigia picha labda kama t-shirt yako ina rangi zisizohitajika inabidi wakupe wao mara moja upigie sasa wanatoa kwa rushwa ya sh 500 na ukitaka upigwe picha fasta itakulazimu utoe 1000 mpaka 2000 ni simple like that kipi kisichoeleweka hapo,akili za kupewa changanya na za kwako ndugu'
Hakuna rushwa yoyote inayoombwa! Ila kwa wenye nguo za rangi zisizotakiwa huambiwa warudi nyumbani wakabadili. Sasa hii ni fursa kwa baadhi ya raia kukodisha nguo zao. Maafisa uandikishaji wala hawana time na
biashara hiyo!.