yec!Dah!
kiongozi, yaani kuwapiga picha na kuwaweka hapa ni noma zaidi ya kuwashia bangi polisi!
Katika kitu muhimu wanachotuzidi muslims ni heshima waliyonayo katika nyumba/maeneo ya ibada
Muislamu anaweza akavaa nguo za ajabu kooote ila akienda msikitini utamshangaa atakavyovaa
Ila mkristu sasa..anapiga umini mixer unambana na high heels juu na usiombe avae hivi alafu aje kanisani kachelewa!
Akiwa anaingia lazima ujikute unageuka
Hapo wala hakuna urembo ni kushindwa kutofautisha eneo na vazi linalomatch
[/QUOTE]View attachment 478736
Sample kama hiyo hapo mixer kicoat juu
Yani kanisani nakuwa very decent
Ukiniona kama sio mimi yani
Siyo mimiWoow, ndo wew huyu au mambo ya Photoshop? ??, kaa ndo wew jpili twende kwa gwajima atupe baraka zake.......
Aaaaaahhhhh................mambo gan sasa ya kualibiana usingizi??[/QUOTE]Siyo mimi
Nimegoogle
hapana isiyovalika haiwezi kubana, inabanaje haijavalika?Lingekuwa vazi linabana basi lisingepita..mpaka mtu anavaa na kupita hilo ni size yake. La kubana huwa hata halipiti
Anaweza kuwatosheleza wote wanaomtaka kwa sababu ya kujitangaza?BIASHARA MATANGAZO
Piga kinembe, piga chini!!Siawahi kujutia kuwatumia hawa kina dada na kuwaacha.
They deserve
Well saidKatika kitu muhimu wanachotuzidi muslims ni heshima waliyonayo katika nyumba/maeneo ya ibada
Muislamu anaweza akavaa nguo za ajabu kooote ila akienda msikitini utamshangaa atakavyovaa
Ila mkristu sasa..anapiga umini mixer unambana na high heels juu na usiombe avae hivi alafu aje kanisani kachelewa!
Akiwa anaingia lazima ujikute unageuka
Hapo wala hakuna urembo ni kushindwa kutofautisha eneo na vazi linalomatch