Mavazi na Sauti za wachezaji Wa mieleka

Wanapata lishe ya uhakika,mafunzo maalumu na tiba sahihi katika kuendeleza hiyo kada,pamoja na maelekezo ya kuongea pale jukwaani;kuhusu mavazi hata magari zipo kampuni zinatengeneza kufuatana na uhitaji wao.
Sawa ndugu nimekupata
 
WCW Monday Nitro akina Randy Savage aka Macho Man, Hulk Hogan, big sexy Kevin Nash, Scot Hall, Konan, kulikuwa na Lex Luger, Rick Flair, the Giant baadae Big Show, Kevin Green, Rowdy Piper, Jeff Jaret, Steve Mango MacMichael na Queen Debra, hahaha Yokozuna Steiner brothers hawa walikuwa na vigimbi mikononi, na Sting! Iron Sheikh, na Earth quake hahahaha hoi ilikuwa burudani tosha
Duuu Hawa ni wa kitambo ila ndo walikuwa wanaume kweli asee kwenye huu mchezo. Booker T,DDP. NWO. Kipindi hicho lex luger ndo mwamba kwelikweli
 
Halafu sijui kama ule mchezo ni ukweli. Hivi kuna mtanzania alishawahi kwenda kuona huo mpambano live kweli???
 
Halafu sijui kama ule mchezo ni ukweli. Hivi kuna mtanzania alishawahi kwenda kuona huo mpambano live kweli???
Mhuu cjawahi sikia ushuhuda huo. Mimi huwa naamini ni maigizo kama movie za Hollywood tu. Ila wamebobea ktk kuigiza asee
 
VingineView attachment 864825View attachment 864827
big_show_ic_champ_in_london.jpg
View attachment 864829View attachment 864828
 
Salamu wadau!

Mara nyingi nimekuwa nikifuatilia mchezo Wa mieleka (WWE) nimeona asilimia kubwa ya mavazi na maviatu yao yanafanana na yana maurembo urembo yanayotaka kufanana. Hivi kabla ya kuvaa vile vichupi vyao kuna kitu/vitu huwa wanatanguliza ndani? Manake wote huwa vimewakaa sawa sawa havitetereki wala kuchanika pamoja na mikiki mikiki ile. Je kuna kampuni maalumu zinazotengeneza Yale mabuti na vile vinguo vyao? Na kwa nini wacheza mieleka wengi wana masauti makubwa makubwa na mapana kuna!? Kuna namna ya kutengeneza masauti membamba kuwa mapana!? Manake unakuta wacheza mieleka uliowaona zamani na sauti za kawaida ukija kuwaona tena baada ya muda mrefu wamebadilika miili na masauti. Au miili inaendana na masauti?

Hayo MASAUTI ni matokeo yamatumizi ya Performance Enhancing Drugs (AKA) Doping ambazo mojawapo ya HEALTH RISKS ni hayo MASAUTI unayoyazungumzia.
Dawa hizo ziko za aina nyingi kama Anabolic Steroids, Androstenedione, Human Grwth Hormones, Erythropoietin Diuretics, Creatinine, Stimulants N.K
 
WCW Monday Nitro akina Randy Savage aka Macho Man, Hulk Hogan, big sexy Kevin Nash, Scot Hall, Konan, kulikuwa na Lex Luger, Rick Flair, the Giant baadae Big Show, Kevin Green, Rowdy Piper, Jeff Jaret, Steve Mango MacMichael na Queen Debra, hahaha Yokozuna Steiner brothers hawa walikuwa na vigimbi mikononi, na Sting! Iron Sheikh, na Earth quake hahahaha hoi ilikuwa burudani tosha
Naamini upo kwenye kundi la Wahenga mkuu
 
Me Nadhani ni mchezo wa ukweli. Siku Nikipata nafasi ya kwenda marekani, Lazima nikaingie ukumbini kushuhudia huu mchezo.
Kupigana mabuti usoni,kuvunjana shingo,kurushana toka juu ya nguzo ndefu kama ya umeme halafu na bado huyo aliye pigwa na kurushwa ndo anashinda!!
 
Back
Top Bottom