Remmy Nkwera
New Member
- Sep 6, 2016
- 3
- 6
Wanajamii naomba kuuliza, mauzo ya katani yanauzwa kwa tone au kwa kilo? Na kwa sasa hivi zao la katani linalipa?
Naomba msaada wenu.
======
Inauzwa kwa tani, inafungwa katika marobota ya kilo 100 au 200 au 250. Kwa sasa inauzwa kwa Tsh 2,600,000/= hadi millon 3. Kwa sasa upatikanaji si mkubwa sana, unahitaji kusubiri wakukusanyie. Kuna wakulima wadogo unaweza kupata tani moja hadi tani 5. Wakulima wakubwa wanaweza kukupaTani zaidi kulingana na mahitaji na bei yako. Wakulima wakubwa unapata Pangani, Mkinga, Korogwe, Hata hapa Tanga Mjini.
Mashamba mengi sana yametelekezwa sema sasa hivi, kama utahitaji shamba ulime unanda TSB au katani LTD wao wanakupa utaratibu unaofaa na wakati mwengine ukibahatika unapewa shamba bure ulime.
Changamoto za hili zao ni ugonjwa unajulikana kama KLF au kwa kirefu ni Korogwe leaf spot
Kama umewahi kuyachunguza majani ya mkonge, utaona mostly yana kama ugonjwa flani hivi either wa maduara au jani linakua na mabaka mabaka ndio hiyo inajulikana kama korogwe leaf spot huu ugonjwa ni changamoto kwa wakulima wengi sana maana ukikata jani lenye huu ugonjwa likienda kuchakatwa kwenye korona hayo mabaka yanajishika na nyuzi.
Naomba msaada wenu.
======
Inauzwa kwa tani, inafungwa katika marobota ya kilo 100 au 200 au 250. Kwa sasa inauzwa kwa Tsh 2,600,000/= hadi millon 3. Kwa sasa upatikanaji si mkubwa sana, unahitaji kusubiri wakukusanyie. Kuna wakulima wadogo unaweza kupata tani moja hadi tani 5. Wakulima wakubwa wanaweza kukupaTani zaidi kulingana na mahitaji na bei yako. Wakulima wakubwa unapata Pangani, Mkinga, Korogwe, Hata hapa Tanga Mjini.
Mashamba mengi sana yametelekezwa sema sasa hivi, kama utahitaji shamba ulime unanda TSB au katani LTD wao wanakupa utaratibu unaofaa na wakati mwengine ukibahatika unapewa shamba bure ulime.
Changamoto za hili zao ni ugonjwa unajulikana kama KLF au kwa kirefu ni Korogwe leaf spot
Kama umewahi kuyachunguza majani ya mkonge, utaona mostly yana kama ugonjwa flani hivi either wa maduara au jani linakua na mabaka mabaka ndio hiyo inajulikana kama korogwe leaf spot huu ugonjwa ni changamoto kwa wakulima wengi sana maana ukikata jani lenye huu ugonjwa likienda kuchakatwa kwenye korona hayo mabaka yanajishika na nyuzi.