Naomba ushauri maana nimetangaziwa Apartments zinauzwa na kampuni inaitwa Proin hapo Dar. Meneja wa Kampuni inasemekana ni mtajwa wa EPA. sasa ninawasiwasi wa kunigizwa mjini. Ushauri tafadhali kwa wale wenye kujua haya mambo. Apartments zenyewe ziko Tabata nazo ni former Sigara apartments.
Natanguliza shukrani zangu.
Natanguliza shukrani zangu.