Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,906
- 22,019
Jamani nyie acheni tu;hii nchi...mmh sijui..mpaka sasaa takwimu zinaonyesha maalbino 50 wamekufa ndani ya miaka miwili na hawa ni wale waliojulikana lakini mpaka sasa sijaona wala kusikia mtu alieshtakiwa kwa mauaji ya albino na akahukumiwa...nkauliza labda jamani haya mambo yataisha ...??
ama hakuna akimu anaetaka kusikiliza kesi kama hizi.
MUNGU WALINDE VIUMBE VYAKO
ama hakuna akimu anaetaka kusikiliza kesi kama hizi.
MUNGU WALINDE VIUMBE VYAKO