Anthony Threedeyea
JF-Expert Member
- May 29, 2013
- 471
- 47
Mimi nikijana wa miaka 22 nipo kidato cha sita najitahidi kusoma sana sababu natokea ktk mazingira ya watu wa hivi hivi tatizo lililo nileta hapa mapenzi yananivulugia masomo yangu natokea kuwapenda mabinti wananikataa kwa vile me nikijana mwenye aibu na mpole nashindwa kuwabembeleza na hikitokea binti kanikubali kinachonikimbiza nipale anaponiomba pesa sababu sina natokea mazingira magumu nimeamua kupiga punyeto mpaka pale binti akitokea kunipenda...naombeni munielekeze jinsi ya kutongoza manzi mpaka aeleweke niwe nawala