namba moja tuu
Senior Member
- May 4, 2017
- 162
- 142
CHANZO CHA MAUMIVU YA MIFUPA NA VIUNGIO
(shingo,mgongo,miguu,misuli kuvuta)
WATU GANI WANAKUA KATIKA HATARI HII
1:wenye umri mkubwa
2:wana michezo
3:uzito mkubwa
4:wana gym
5:watoto wenye upungufu wa madini chuma na vitamini
SABABU YA MAUMIVU HAYO
Umri unavyozidi kusogea au kukosa madini flani ya kuimarisha mifupa hupelekea mwili hushindwa kuzalisha ute ute (synovial fluid) katika viungo vya mifupa hivyo kupelekea msuguano wa viungo na kusababisha maumivu makali kushindwa kukaa,kuinuka,kukimbia na kutembea
KWANINI KUTOKEA MAUMIVU
1:kulika kwa cartilage
2:upungufu wa synovial fluid(ute)
3:maambukizi ya vijidudu katika viungo kama (bacteria,fangasi na virusi
4:uzito kua mkubwa
Hivyo basi kwakua umri umeenda au kufanya mazoezi kwa wingi kuna madini yanakua yanapungu au kukosekana kabisa nayo ni
Mifupa yetu imetengenezwa na madini na vitamini mbalimbali navyo ni kama ifuatavyo
1: Chuma(Fe)
2: Calcium(Ca)
3: Zinc(Zn)
4: Boron(B)
5: Copper
6: Magnesium(Mg)
7: hosphorus(P)
8: otassium(K)
Pamoja na VITAMIN D
Na Suluhisho pekee la Tatizo La Joints ni kutumia Virutubisho(Food Supplements),kwa mwenye tatizo ama kwa wanaofanya mazoezi ili kuongeza huo ute ute kwa lengo la kuzuia misuguano ya joints.
(shingo,mgongo,miguu,misuli kuvuta)
WATU GANI WANAKUA KATIKA HATARI HII
1:wenye umri mkubwa
2:wana michezo
3:uzito mkubwa
4:wana gym
5:watoto wenye upungufu wa madini chuma na vitamini
SABABU YA MAUMIVU HAYO
Umri unavyozidi kusogea au kukosa madini flani ya kuimarisha mifupa hupelekea mwili hushindwa kuzalisha ute ute (synovial fluid) katika viungo vya mifupa hivyo kupelekea msuguano wa viungo na kusababisha maumivu makali kushindwa kukaa,kuinuka,kukimbia na kutembea
KWANINI KUTOKEA MAUMIVU
1:kulika kwa cartilage
2:upungufu wa synovial fluid(ute)
3:maambukizi ya vijidudu katika viungo kama (bacteria,fangasi na virusi
4:uzito kua mkubwa
Hivyo basi kwakua umri umeenda au kufanya mazoezi kwa wingi kuna madini yanakua yanapungu au kukosekana kabisa nayo ni
Mifupa yetu imetengenezwa na madini na vitamini mbalimbali navyo ni kama ifuatavyo
1: Chuma(Fe)
2: Calcium(Ca)
3: Zinc(Zn)
4: Boron(B)
5: Copper
6: Magnesium(Mg)
7: hosphorus(P)
8: otassium(K)
Pamoja na VITAMIN D
Na Suluhisho pekee la Tatizo La Joints ni kutumia Virutubisho(Food Supplements),kwa mwenye tatizo ama kwa wanaofanya mazoezi ili kuongeza huo ute ute kwa lengo la kuzuia misuguano ya joints.