Maumivu ya moyo....!!!

donlucchese

JF-Expert Member
Mar 23, 2011
17,040
21,513
Helw wakuu,
Habari za Eid Pili? Kwangu si njema sana baada ya kukutana na something I never expected, its a big blow to me

Kwa kifupi wakuu, nina mpenz wangu ambaye napendana nae sana, sijawahi kumkosea wala kumkwaza with anything and I always considered our r/ship a healthy one.

Hakuna matatizo yeyote kati yetu hata financial issues kiasi flan tumesimama. She is someone I was willing to take a largest step in life (marrying her) sometimes in next year after i've attained.some personal goals I have.

Sasa leo kama bahati alinipatia simu yake nimrekebishie whatsapp ilikua inasumbua kuconekt bila kukumbuka ameacha some traces behind. Mimi wakati naifanyia setting simu, curiosity yangu ikanituma niende inbox kwa sms za kawaida... bandugu nimekutana na msg za mapenzi anaongea na mwanaume mwingine ikabidi nipige na picha kwa simu yangu....

Too bad huyu jamaa anaefanya nae upuuzi ni someone I trust and took as a brother since we were growing up mpaka sasa. Tumekua watu wazima.

Sijamwambia chochote mpaka sasa am still thinking ni adhabu gani niitoe au uamuzi gani niuchukue kutokana na ufedhuli huu niliofanyiwa. Ngoja nikapate a drink or two kwanza aisee nikae sawa, inauma wakuu acha tuu.
 
Back
Top Bottom