Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,319
- 33,125
Mimi sikujuwi na sijawahi kukutibia wewe unasema umesha wahi kutumia dawazangu lini na mwaka gani? Na je nilikupa mimi kw amkono wangu hizo dawaunazosema kuwa umesha wahi kuzitumia? lete ushahidi wako hapaAsante Dr Ila nimeshatumia pia dawa zako Ila hazikunipa msaada wowote , ilikua mwaka 2018 najua sio rahisi kwako kunikumbuka