Billie
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 12,720
- 19,862
Kipi kinachoumiza sana kati ya:
1.Maumivu kutoka na shida za maisha
2.Maumivu yatokanayo na mapenzi/mahusiano.
Tusaidiane kujadili hili maana hivi vitu vinaongoza kuzorotesha raha na afya ya mwanadamu
Nawakaribisha wakina Kongosho lara 1 nivea Boflo Mtambuzi @figaniga manoah King Kong III NA WENGINE KIBAO COZ YAMESHANIKUTA MWENZENU NINA STRESS LUKUKI.
1.Maumivu kutoka na shida za maisha
2.Maumivu yatokanayo na mapenzi/mahusiano.
Tusaidiane kujadili hili maana hivi vitu vinaongoza kuzorotesha raha na afya ya mwanadamu
Nawakaribisha wakina Kongosho lara 1 nivea Boflo Mtambuzi @figaniga manoah King Kong III NA WENGINE KIBAO COZ YAMESHANIKUTA MWENZENU NINA STRESS LUKUKI.
Last edited by a moderator: