Kilemakyaaro
JF-Expert Member
- Jul 19, 2016
- 5,050
- 5,078
Sema nini mwana we ni bonge moja la boya yaani boonge la bwege yaani kwenye lile kundi la wavulana wajinga wewe ni mkuu wao, unathubutu kusema umejadiliana na mkeo namna ataachana na bwanaake? Kweli? Yafaa amlete kitandani kwako ukute kakunjwa kama mlemavu ili ukunywe kimatire upite hivi maana katika mizigo we ni mzigo wa gunia la misumari. Ushauri wangu huyo usimwache mpaka siku aliwe kitandani kwako