Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,567
Jibu mubasharaKwani hapa hapa huwezi kunisaidia Mimi pamoja na wana Pumu wenzangu ili upate ' thawabu ' kwa Maulana? Acha kuwa Kaa / mchoyo / mnoko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jibu mubasharaKwani hapa hapa huwezi kunisaidia Mimi pamoja na wana Pumu wenzangu ili upate ' thawabu ' kwa Maulana? Acha kuwa Kaa / mchoyo / mnoko.
Hii ina ukweli nimekuwa na tatizo kama lako toka 2003 nikafanyiwa xray temeke, amana na muhimbili hakuna tatizo nikapigwa masindano ya kutosha christapen na powercef, nikatumia kila aina ya dawa, nikapiga CT scan ya kichwa na kifua hakuna tatizo mpaka mwaka 2012 nilienda TMJ nikakutana na daktari wa kihindi nikamuelezea historia na vipimo nilivyopitia na ninavyojiskia mpaka leo akasema hebu tuangalie mfumo wako wa chakula maana kifua kuuma na nyuma ya mgongo inaweza kuwa ni mfumo wa chakula pia, nikapigwa endoscopy na tatizo likaoneka ni GERD grade 1 bahati mbaya hakuna tiba ya uhakika hata opersheni ukifanyiwa wanasema success rate ni 50% so nikashauriwa tu kubadili mtindo wa maisha na kutumia dawa ila nimateso makubwa.Mimi sio daktari;
Maumivu ya namna hiyo yanaweza kuwa ama ni chembo moyo,kiungulia au ni dalili za mwanzo za vidonda vya tumbo.Pia inaweza kuwa pneumonia au angina.Kwa kwaida pneumonia huwa inkuwa na homa pia.Kama hupati homa basi jaribu kufikiria kama unaweza kuwa na vidunda vya tumbo anagali kama mamumivu hayo yanatokea unapokula vyakula vya ina fulani hasa vyakula vichachu.Kama ni kiungulia pia angalia kama kuna vyakula vina sababisha hiyo kama nic chembe ya moyo angalia kama unapokuwa na mshtuko maumivu yanakuwa makali zaidi.Pembeni ya tiba ya pneumonia unaweza tafuta tiba za tumbo kama dawa za antacid/antiflatulent.Ni vizuri umeona daktari wako kabla ya kufanyia ushauri huu kazi
Ni kweli kiongozi ila sasa kwangu imefikia hata ukikandamiza kifua huwa kinauma na kiungulia kimepanda mpaka kwenye koomkuu hakuna kitu kinaitwa chembe ya moyo. hayo ni maumivu yanatokea chini ya kifua mithili kama unachomwa na kitu chenye ncha kali.
hivyo ni vidonnda vya tumbo(peptic ulcers au duodenum ulcers) mara nyingi husababisha maumivu makali chini ya kifua ambayo watu wengi huita chembe ya moyo.
nakushauri uwahi haraka hospitalini ukapime vidonda vya tumbo kabla havijawa chronic. kwani hiyo unayoita chembe ya moyo ni moja ya dalili za mwanzo.
Hebu niorodheshee hivyo vyakula vya acid tuvijue mkuuwahi hospitali mweleze Dk lakini ni dalili kuwa acid inazalishwa kwa wingi tumboni mwako jaribu kuepuka kula kwa wingi vitu vyenye asili ya acid na pia jitahidi kunywa maji kwa wingi
AHSANTE SANAMKUU SIJALALA MAJIRAN WANANGALIA ANAVYOHANGAIKA JORAN UNALIA KABISAA AISEE UGONJWA WA HATAREE SANAWadau hivi majuzi nilishikwa na kama kichomi fulani hapa juu ya tumbo yani katikati ya tumbo na kifua sikulala kabisa usiku wake.
Sikuwahi kutokewa na hali hii hiyo ndiyo ilikua mara ya kwanza.
Hata hivyo sikuweza kwenda hospitali kwa sababu nilikua na safari ya muhimu sana. Nilijaribu kuwauliza watu mbali mbali wakawa wananiambia ni chembe ya moyo lakini mimi sijui chochote kuhusu hiyo chembe ya moyo yenyewe.
Naombeni msaada wenu wadau.
=======
w0rM anasema:
Chembe ya moyo(Angina Pectoris) ni tatizo linalowasumbua watu wengi sana kwa sasa na hutokea pale moyo unapopata hewa ya oxygen kidogo tofauti na mahitaje yake
Hali hiyo inaweza kusababishwa na aidha kuziba kwa mishipa ya damu inayopeleka damu moyoni na kusababisha misuli ya moyo isipate damu ya kutosha inayobeba oxygen
Sababu nyingine ni pale moyo unapofanya kazi kubwa sana ya kusukuma damu kiasi kwamba kiwango cha oxygen ambacho moyo huo unapata kinakua hakitoshi
Inaelezwa kuwa Watu waliopo kwenye hatari zaidi ya kupata ugonjwa huo ni; Wanaovuta sigara, Wanene kupita kiasi na wenye ugonjwa wa kisukari
DALILI ZA CHEMBE YA MOYO
Dalili kubwa ni maumivu katikati ya kifua yanayokua kuelekea kwenye mkono wa kushoto
MATIBABU YAKE
Kuna dawa nyingi zinazo weza kutumika kutibu tatizo hili, baadhi ya dawa hizo ni Nitroglycerine(Glyceryl Nitrtrate), Nifedipine na Atenolol
Aidha, ikigundulika mishipa ya damu inayopeleka damu kwenye misuli ya moyo imeziba mgonjwa atakiwa kufanyiwa upasuaji ili kuizibua
Njoo inbox 0621823061Nina jirani yangu anateseka kila usiku, ukimuliza anasema ana "chembe ya moyo"
Sijui ni ugonjwa gani mwenye idea na solution yake.
Hospitali alienda wakampa dawa lakini naona panadol n.k
AHANSATE MKUUU