Chembe ya moyo ni nini na hutokana na nini?

Mkuu kilichonifanya mimi kutamani kulia kwa jibu la jamaa ni kutojua anamjibu mtu ambaye ni layman kwenye tiba ,ndo maana naomba ushauri sasa ukianza kukejeli kutojua kwangu kikweli unaharibu ,basi nami narudi kwa daktari mwenzio kumueleza yaliyojiri kwa hatua zaidi,akhsante
Itakuwa vizuri zaidi. Ni haki yako mgonjwa kupata maelezo ya kina na yaku rudisha kabla yakuondoka kwenye chumba cha daktari. Ila kiukwel kifua hatupimi damu cha zaidi ni kusikiliza milion ya mapafu. Pia dhana yaku sema kuwa waweza kuwa asthmatic nai kataa.
 
Daaahhh....ili tatizo Na Mimi ninalo mwisho wa siku iligundukika kuwa ni latent TB after long dose nothing change mpaka Leo tatizo halijaisha
 
Japo Mimi siyo Daktari ila nahisi kama vile kwa hizo dalili zako utakuwa tatizo langu ambalo huwa linanitesa sana la Pumu ( Asthma ) Nashauri wahi katika Kituo chochote cha Afya kilichopo karibu nawe ili wakakuangalie na upate Tiba kwani hatutaki Kukupoteza mpiga Kura Wewe wa Kitanzania.
Mkuu hadi wewe una pumu!!!! Aisee ukipata dawa ya kutibu nijulishe na mie nitumie
 
hiyo hali ilinikuta siku maalum ya harusi yetu! niliumwa sana ht kupumua naumia,ht kukapakata katoto kangu kanyonye nashindwa !nilijua nakufa kbs siku ile !nikapewa doxy na sindan juu !
yaan mbaya sana !sasa hv ht baridi liwejeee hapa nimevaa mtandio tu na kuna bonge la wingu!

pole sana hyo pumu !jiprotect vya kutosha
Habari yako dada... ushauri wako ni mzuri..ila nina swali kwako.

Je? Kila anaye banwa na kifua naku shindwa kuhema yuko asthmatic?

Vp mgonjwa wa pneumoniae awezi banwa na kifua nakushindwa hema?

Vp? Mgonwa wa pulmonary tuberculosis (tb) naye awez pata dalili kama izo!?

Jibu ni kwamba ina wezekanika... ila kwa asthma napinga maana ni ugonjwa severe sana saiv ina wezekana tungesha mkosa kwa muda alio kaa bila dawa.
 
Habari yako dada... ushauri wako ni mzuri..ila nina swali kwako.

Je? Kila anaye banwa na kifua naku shindwa kuhema yuko asthmatic?

Vp mgonjwa wa pneumoniae awezi banwa na kifua nakushindwa hema?

Vp? Mgonwa wa pulmonary tuberculosis (tb) naye awez pata dalili kama izo!?

Jibu ni kwamba ina wezekanika... ila kwa asthma napinga maana ni ugonjwa severe sana saiv ina wezekana tungesha mkosa kwa muda alio kaa bila dawa.
 
Mkuu hadi wewe una pumu!!!! Aisee ukipata dawa ya kutibu nijulishe na mie nitumie


we husna si nilikushari ujarib ile dawa?? duh hupo seriuos !mie na mawingu haya ndo ilikuwa worse zaid!baadaye ikaja kwa hali zote !anywys kupanga ni kuchagua
 
Japo Mimi siyo Daktari ila nahisi kama vile kwa hizo dalili zako utakuwa tatizo langu ambalo huwa linanitesa sana la Pumu ( Asthma ) Nashauri wahi katika Kituo chochote cha Afya kilichopo karibu nawe ili wakakuangalie na upate Tiba kwani hatutaki Kukupoteza mpiga Kura Wewe wa Kitanzania.

Pumu kaka nitafute nipo Dar ni jaribu kukusaidia.
 
Maumivu hayo ya kifua unayapata karibu na matiti upande gani? Je hayo maumivu ni mithili ya mtu anaye pitisha kitu chenye ncha kali katika kifua chako?????
 
Nimekuwa na maumivu ndani ya kufua na nyuma ya mgongo na nikivuta hewa kuna kama vichomi hivi,nilienda hospitali wakanipa diclopar na vidonge vya antibiotic wakidai nina pneumonia ,

Nikakomaa na dozi wiki na nusu maumivu yakawa kwa mbali baada ya dozi kuisha ndani ya wiki ngoma imerudi pale pale ,nikaenda tena hospitali wananambia wanipe tena vidonge nimeondoka hata dawa sijachukua wakuu ,hebu nishaurini kuna mtu kanambia nichomwe sindano zitasaidia haraka
Mimi sio daktari;
Maumivu ya namna hiyo yanaweza kuwa ama ni chembo moyo,kiungulia au ni dalili za mwanzo za vidonda vya tumbo.Pia inaweza kuwa pneumonia au angina.Kwa kwaida pneumonia huwa inkuwa na homa pia.Kama hupati homa basi jaribu kufikiria kama unaweza kuwa na vidunda vya tumbo anagali kama mamumivu hayo yanatokea unapokula vyakula vya ina fulani hasa vyakula vichachu.Kama ni kiungulia pia angalia kama kuna vyakula vina sababisha hiyo kama nic chembe ya moyo angalia kama unapokuwa na mshtuko maumivu yanakuwa makali zaidi.Pembeni ya tiba ya pneumonia unaweza tafuta tiba za tumbo kama dawa za antacid/antiflatulent.Ni vizuri umeona daktari wako kabla ya kufanyia ushauri huu kazi
 
Mimi sio daktari;
Maumivu ya namna hiyo yanaweza kuwa ama ni chembo moyo,kiungulia au ni dalili za mwanzo za vidonda vya tumbo.Pia inaweza kuwa pneumonia au angina.Kwa kwaida pneumonia huwa inkuwa na homa pia.Kama hupati homa basi jaribu kufikiria kama unaweza kuwa na vidunda vya tumbo anagali kama mamumivu hayo yanatokea unapokula vyakula vya ina fulani hasa vyakula vichachu.Kama ni kiungulia pia angalia kama kuna vyakula vina sababisha hiyo kama nic chembe ya moyo angalia kama unapokuwa na mshtuko maumivu yanakuwa makali zaidi.Pembeni ya tiba ya pneumonia unaweza tafuta tiba za tumbo kama dawa za antacid/antiflatulent.Ni vizuri umeona daktari wako kabla ya kufanyia ushauri huu kazi
Mungu akubariki sana wewe na uzao wako.
 
Back
Top Bottom